Kwani watu ni wale wale, askari wa kipindi kilee ndiyo Hawa walipo sasa.
Tunaomba askari watuonee huruma. Mtu anauwawa kwa sababu ya television kama yaliotokea Mwanza.
Wimbi la uhalifu limetamalaki kila mahali Tanzania.
Hivi kweli hivi mpaka Raisi alizungumzie
waziri mkuu yupo, waziri yupo, IGP...
Tangu mabadilike kwenye wizara na natanesco umeme moshi unazimika kila baada ya nusu saa, sijui ndiyo teknologia mpya au ndiyo mbinu za kubana matumizi Ili kuchochea maendeleo.
Hali hii inarudia kule tulikotoka yaani kwenye makoroboi, sola, magenereta n.k
Wengi hudhani unavyokiona ndivyo kilivyo bila utafiti na takwimu za kutosha na kutolea maamuzi.
Angalia sasa tunainamisha nyuso kabla hata jua halijachomoza. Watz tumezidi kukurupuka hata kabla kufunga kufungua na kisha kufungua midomo kushika kalamu au kuingia mitandaoni.
Hebu tafakari hivi...
Atakayekuja atakuwa mkali kuliko aliyetangulia. That is the principal. Nobody is ready to be referred as a looser.
CCM take note that the late President Magufuli has left a template for you to use for running this Country if you go back to the business as usual era get ready to loose the grip...
Wewe naona huelewi Serikali za Mitaa vizuri. Wenye matumizi mabaya ni madiwani. Wanaowajibika kwenye matumizi na mapato ni watendaji, wanaojibu audit query ni watendaji.
Watendaji ndiyo wahangaika na maendeleo ya wilaya siyo DC wala madiwani.
DC anasimamia interest za Serikali iliyoko...
Na wewe, kuna muandika minutes na mutasari. Katibu ni mtendaji mkuu wa chama. Ndiye ana kalenda ya vikao vya chama, yeye na secretariyeti yake ndiyo inandaa agenda . Fedha zote za chama ziko chinI ya milki yake. Kwa maana nyingine ni mtawala
Huku Moshi kuna tatizo gani, umeme unakatwa mara kwa mara kea muda mrefu na utaratibu unajirudia bila hata taarifa kama kuna uwezekano.
Leo tangu saa kumi na mbili hakuna umeme hadi sasa saa 4.22
Kwema, Umeme hamna huku Moshi giza tupu. Mimi nilidhani mgao wa umeme umeisha lakini naona hili jinamizi bado tunalo huku Moshi pamoja na juhudi zote hizo bado naona kautaratibu ambako siyo kazuri.
Hii imekuwa ni mtindo kujirudia. Kama kuna lo lite lile si tuambizane. Mbona tulikuwa pazuri tu...
Sitasahau siku moja kwenye disco jamaa mmoja na kichaa chake akaimbisha wimbo wake mpya ulikuwa unasomeka hivi;
askari mambo yao vitendo vyao ..sawa sawa
vaa yao ......sawa sawa
Kula yao.... ...sawa sawa
Jamba yao ......sawa sawa.
Hapo ndiyo hali ya hewa ilibadilika badala ya disco ikawa...
Kama hapo zenj mafuta chukua, umeme pata kwa bei ya kutupa, kazi zetu kwa mambo cio ya muungano, kogamboni wamefanya kipande kisiwa hicho. Zenj yao, tz yetu. Ati tumechanganya damu bc wawe mkoa au kanda. Kwa utaratibu huu nakubaliana na wewe mkuu tunaweza kuwachia. Membe yuko wapi jamani alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.