Kamaanafanya objectively ka misingi na sheria za taaluma yake huo mtindo wa kusakama hauwezi kuwa na manufaa katika zama hizi. . . . .Na hata ikitokea akatoka sababu ya vijishutuma vyeoesi bado tu atakuwa hero katikati ya watu wanaoheshimu taaluma na uzalendo
Wachache tutamuelewa come what...
Kusema Kusema ukweli kunataka uhakika sana wa unachokisema na hiyo personality ya kusema ukweli sababu kusema ukweli pia ni tabia ya mtu nje ya utaalamu alionao
Acha hofu. . . .. Mtoto wa umri huo anaweza sema mambo meengi tu vile ubongo wake unamuelekeza. . . Kaa naye kwa ukaribu na mapenzi muulize maswali naye atakuuliza yake utamuelewa tu
Ye ndio atapeleka umeme vijijini??!!!
Zinatakiwa njia endelevu za kuenedeleza nchi sio hizo "ransom" kwa jina la kunyimwa misaada sijui kuwekewa vikwazo. . . . . . .
Yaani maisha ya watu woote yasubiri kuapishwa mtu mmoja. . . . . . .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.