Hio siku ikifika utakuwa ushakufa zamani sana, ni miaka 2000 ijayo, ila kama kweli upo serious unataka kuishuhudia basi anza ule ubaguzi wa kiafrika Kusini dhidi ya wapemba na waunguja , anza Harakati za kuwatimua.
This is too Utopian,
Hivi chato ipo Zimbabwe? I thought ungesema kwa ushahidi kuwa JPM alichukua hela za umma na kazificha kwenye akaunti zake nje ya nchi ama zipo hapo CRDB kumbe kajenga kwao?
Hivi mbeya imeanza kujengwa lini? Inaonekana wewe ni WA Jana, Mbeya imeanza kutembelea barabara ya...
Hakika wewe ndio una ukosefu wa elimu na inawezekana kabisa maisha yamekupiga Hadi unawaza kuwa CCM kipo hapo kinapiga deal, kinaiba, kinagawana, halafu wewe hupati kitu.
Mtazamo wako kukihusu CCM ni mtizamo wa kimaskini Sana na usio kuwa na utumiaji sawa wa ubongo.
Mimi nimekupa tu ushauri...
Naona umepanic,
Hii thread yako kama vile umeandika ukiwa umekaa chooni.
Wewe endelea kupiga kelele humu JF badala ya kutafuta pori na bunduki yako uanzishe mapambano ili upige deal.
H
Hapo kwenye paragraphs ya pili na ya tatu, kwa hio na wewe unataka upige madeal? Unawaonea CCM wivu unataka CCM kitoke madarakani ili na wewe chama chako kipige madeal ili mshibe matumbo yenu?
Naomba nikuulize, kwani hii bandari ya Bagamoyo inajengwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza ama...
Ndg yangu Kiranga tangu umehitimu Tambaza umekuwa tofauti Sana, yaani upo New York unamuelekeza Jamaa wa Kisarawe amasaidie DC kutawala?
Mnampoteza Sana huyu Niki Simon
Weka picha na video za utambulisho hapa tuone?
Tatizo lenu nyie watu Kila kitu mnakichukulia ki-hip hop tu, u-DC si usanii , kinahitaji maturity Ila nyinyi mnakichukulia usanii usanii tu.
So unataka kusema DC Kesha maliza Kisarawe yoote? Kakutana na madiwani, kakutana wananchi wote, kakutana...
Yaani alichokifanya Niki ni sawa na mtu aliyekwenda beach kupiga picha .
Alitakiwa afanye ziara ya kujitambulisha kwa halmashauri na atoe dira yake, then apange ratiba ya kutembelea vijiji akijitambulisha and huko ndio akague na miradi, sasa jamaa anakurupuka tu utadhania nyumbu wa CHADEMA...
So what? Sasa Kama alikuwa msanii mkubwa Sana why amekubali kuwa DC mdogo Sana.
This is ridiculous
Maeneo rasmi ya matangazo ya shughuli za viongozi wa ngazi ya DC ni kwenye mikutano ya Kijiji, kata, Baraza la madiwani na vikao vya kamati ya ulinzi na usalama vya wilaya husika.
Kupitia Hayo...
Kwanza napenda ufahamu kuwa, uwazi haupo kwenye media ,uwazi upo kwenye vikao rasmi.
Pili, kiongozi huwa hapimwi kwa kiasi gani ameonekana kwenye media isipokuwa amefanya nini, Kuna viongozi kibao wametumia media/ publicity wamepotea kwa sababu rating yao imeonesha media was just a show off na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.