Ajali za helicopter sio kama za ndege, ndege inawez akupata hitilafu ya engine na bado ika maintain altitude na orientation. Helcpter ni kinyume maranyingi huwa inapoteza hadi uelekeo na kuanza kujizungusha!! making it almost imposible kutumia parachute.
Mbona mada inajieleza vizuri umeamua tu kuzingua.
Unapotoa huduma ni jukumu lako kutoa elimu kwa madhara na faida yanayotokana na bidhaa zako, haijalishi unahudumia maskini au tajiri!!
Boeing ana struggles na shares zake sasa hivi moja ya sababu ni ajali mbili za 737 max ambapo aliweka...
Mkuu
Financial education ni muhimu kutolewa na mabenki, kiinachofanyika ni ulagahai unafanywa kwa lengo la kuzifanya benki zipate faida.
Tbl kwenye bia zake kaandika 'hairuhusiwi kuuzwa kwa wenye umri wa Maka 18' unadhani anapenda? TCC kwenye sigara' Uvutaji wa sigara husababisha saratani '...
Hakuna akaunti ianyofunguliwa bila nyaraka na wengi huonyeshwa tu sehemu ya kusaini na mwishowe hawajui vifungo walivyoingia!
Kimsingi unapochapisha bandiko lolote ni vema kulifanya lieleweke kwa kutoa elimu. Ndo sababu tunanunua vitabu na watoto anaenda inavyo shuleni ili wakaelimishwe na...
Huwezi kuona kwenye Atm, Kuna gharama za miamala!
Zile karatasi zinazotupwa kwenye dust bins benki wameshachaji!!! Laiti kama watu wangejua gharama za kutaka Ile receipt ambayo wanasoma tu balance na kuitupa kwenye bin , wasingeitaka Ile receipt , na benki zingekosa mapato,
Mfano kuna account' X 'mteja anafungua na wao benki wanakwambia akaunti hii itakuwa inazalisha faida 'Y' baada ya Muda 'Z'
Benki hawawezi kukwambia limitation za akaauti hiyo ambayo zinafanya ukose Ile faida utakayoipata, mathalani unatakiwa utoe pesa mara ngapi kwa mwezi ili usivuruge terms...
Boda boda anawekesa kiasi gani Utt ili naye aishi kibos akistaafu.?
Mada ni simple tu, unaicomplicate! Soko la pesa Sio kwa kila mtu in fact ni kama lipo kwa ajili ya matajiri tu. Haiingii akilini niweke 10 mil Utt halafu nisubiri faida ya 1 mil baada ya mwaka! Ila tajiri anaweza subiri gawio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.