Mbona bado hajaanza kumchambua, ametoa introduction ya atakachoongelea kwenye makala ijayo na ameeleza kwa kifupi mapungufu ya Lowasa. In my opinion ameandika vizuri.
Nashauri tusome makala yoye kabla ya kumhukumu profesa.
Musoma (V) Haijawahi kuwa na mbunge kilaza kama huyu. Alifikiri pesa zake pekee zingeweza kuwaletea mendeleo wana Musoma akasahau kuwa wana Musoma walimchagua ili awawakilishe na sio kutafuta umaarufu wake kama individual. Nakumbuka jinsi alivyowahadaa wananchi wakachimba mtaro ili kulaza...
Mkuu,
CCM haipo! hata huyo unaedhani ni kenge hayupo kesha kufa siku nyingi, kilichobaki ni serekali tu. Hao unaowaona wanavaa kijani either wana madaraka serikalini, au wanayawinda, au wanajiweka karibu na watawala ili kuendeleza uvinjaji sheria kama vile kutengeneza ARV feki nk. Nakwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.