Hongera mwaya kwa kukupata ujasiri huu wa kueleza kile unachokitaka, usiwajali hao wanaojibu km wanatumia kichwa cha chini kufikiria,mungu akujalie umpate mkweli umtakaye.
Hivi kwani ni lazima kila thread uchangie,mwenyewe alishasema kama unaona haikuhusu pita tu,
Na kweli hata siginecha yako inajieleza kweli hiki ulichoandika ndicho ulichopewa kichwani mwako.
Hawa wanaume bila kutuongelea sisi wataongelea nini,bila hadisi zinazotuhusu nani atachangia,na kule kwenye makwanda na mamgamba ban nje nje,acha watuongelee tu nyoyo zao zifurahi na wapunguze mawazo,nyingi hapo ni za kutunga hazina ukweli kabisa.
Sasa km huu utafiti ni wa kweli huko mbele ya safari itakuwaje,hivi tunanyang'anyana wanaume hamtutoshi,mikizidi kufa sio itakuwa tabu tupu,mungu aepushie mbali au sie wanawake atupunguze kiaina ili namba ibalance na wanaume.
Hakuna cha kujificha wala nini,tena ile hatutumii glas km hao mabinti zenu wa huku mjin,nikiweka mdomon ni tarumbeta niniweka chupa chini namwambia mhudumu afungue nyingine ebo!
Asa km umetaka kudanganywa je,mie nitafanyaje,nakudanganya weeeeeeeeeeeeeee,alafu wala sijisumbui kumbuka hata tukikutana akija vibaya nakudanganya kwa mata nyingine,tena inakuwa tofauti na uwongo wa mwanzo,kwa taarifa yako kila anayedanganywa ameomba kudanganywa bila kujua au kwa kujua.
Usiogope mwana kwetu huyu ana matatizo na starehe za wengine,km vp mpotezee tu,watu wanapiga mpaka msuba na hubby wake bado kakolea na maisha yanenda tu!!
Pole zake bwana harusi,haya mambo yakuuziana mbuzi kwenye gunia kwa kuogopa kutenda zambi wakati zambi zingine watu wanazitenda bila aibu,haya ndio matokeo yake,watu wanatakiwa waanzane mapema na kujuana vizuri ktk nyanja zote mpaka mkifikia kwenda mbele ya padiri mmesharizika wote,sasa hapo...
Ndio ajue ili siku nyingine awe makini magonjwa makubwa kwa wanawake tulio wengi ni mawili tu,kupewa kazi ya ukweli na matunzo basiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!vingine mbwembwe tu.
Ninachoamini mimi,km mtu amekupenda hakuna longo longo mnakubaliana mambo mengine yanaendelea,na kwa mwanaume muelewa wala hatakuwa na mda wakufikiria habari za mambo ya maharage ya mbeya wala nini,Tatizo liko kwenye fikra mbovu za watu wanatafsiri vibaya,na nyie wanaume mnapenda mzungushwe kwa...
Kwani mtu akikupa namba ya simu na akaitikiwa mwaliko wako ndio kakukubali?
Nijaribu mimi uone balaa langu,nakutia hasara ya ukweli mpaka utajuta kunifahamu na hupati kitu vile vile,nyie mnaotuchukulia poa ndio nawatakeni sana nyie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.