We jamaa elewa kitu kimoja..kura ya HAPANA ya Pinda inabeba maana kubwa sana kuliko kura ya HAPANA ya MajiMarefu...sikulazimishi ukubali lakini huo ndio ukweli..kuna watu wengi wasio na ufahamu wa sheria are looking up to AG kwenye mambo ya kisheria na katiba..so him saying HAPANA inabeba maana...
soma vzr historia ujue kwa nini mke wa kwanza wa Madiba alimuacha na kuondoka, ukikosa kitabu tafuta movie ya Idris Elba Long walk to freedom utajua usikurupuke kumshambulia Lissu hapa...
take note sitetei ujinga wa mwenyekiti wao nakusahihisha kwenye historia
Mtoto wa kiume na umbea na uongo wapi na wapi? Jide akiwa na band hachukui chini ya 10M..fanya research kabla ya kuropoka hapa...and FYI wamekula pesa nzuri sana zaidi ya hiyo unayosema
ungepeleka huu uzi jukwaa la tetesi uwataje boss then kisheria ungekuwa uko ok since ni tetesi tu hazijawa confirmed......kuna mdau hapo kasema ulionekana kwa muke ya muzungu ukimwambia asitaje wasije kumpoteza sasa si ungemwambia shosti wako akutajie kwa siri tu
Please follow the link below and if it touches you please sign the petition against the SimCard Tax which was just imposed by the govt. Tanzania has approx 20M mobile phone users and out of those around 8M use less that Tsh 1000 per month, TUJIFIKIRIE NI WANGAPI TUTAUMIZWA NA HII KODI. Once we...
Mbebs wa ukweli na wewe unataka? NiPM namba yako nikupe maisha mrembo wa nguvu kama vipi...mwenzio kinyanambo (ngariba dume) nimeuhamisha chumba kimoja sinza.
tena waonekana mrembo mashallah....hilo jina nazidi kukutamani ati....achana na kazi za 7000 per day Lumumba mi ntakununulia meli mtoto...
hao pdre na DJ ndo kina nani? walishakuwaga mabasha wako wa zamani? usijali mi sina wivu mtoto mzuri
we chilisosi nahisi sio mzima (rizi------hiki), kama vp jiunge na bilali mashauzi....watu wanaongea senses we unaleta upuuzi hapa umetumwa? ebu tuliza msho-------no huo
Kuwa na akili wewe mbwi---ga...sasa afungue miradi ya maendeleo yeye anakusanya kodi?
Au unataka atoe hela yake ya mfukoni kufungua miradi ya maendelea? Acha kutumia masaburi kufikiria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.