Ukiona una mtoto mwenye hulka zinazofanana na mtoa post haraka sana kambadirishe na pepeta iambulie, maana wahuni si watu wazuri, awachelewi kufanyi wali ukawa bwabwa kisha wale kisamvu kopo.
Ukiona una mtoto mwenye hulka zinazofanana na mtoa post haraka sana kambadirishe na pepeta iambulie, maana wahuni si watu wazuri, awachelewi kufanyi wali ukawa bwabwa kisha wale kisamvu kopo.
Vyombo vya usalama vya maziwa makuu, vipo uchi mbele ya kagame. Kagame ana uwezo kufanya atakavyo. Haitaji digrii kulijua hili, angalia anachokifanya mashariki ya Congo, wote wamefyata anawapapasa makalio atakavyo.
KWa mpumbavu tu ndiyo anakuja na majibu na maswali ya jumla jumla. Na kwa vile nchi ya wajinga kazi yao kubwa ni kukenua na kushangilia hata ushuzi wa wakuu. Unavyokuja na majibu ya jumla kama shule ngapi zimejengwa uje na takwimu ya watu milioni sita wa kipindi hicho ni asilimia ngapi waliweza...
Wanasiasa wanafanya hivyo wanajua hii ni ya majuha, kesho utasikia wabunge wanataka posho ziongezwe nani wakizuia haya yasifanyike!? Hakuna na ndiyo maana kila siku hua nasema hakuna viumbe wabaya hapa duniani kama wanasiasa na ndiyo chanzo cha shida zote hizi. Huduma ya afya kwa wazee...
Hawa jamaa Dah!
Yaani kama wananchi yao.
Hawashikiki kama wizara ya maliasili na utalii.
Kiukweli balozi zetu zinakuwa kama mawakala wa nchi walizotumwa wanasahau kama wapo pale kwa ajili ya watanzania. Watanzania watakushukuru kama kweli utaifumua hii wizara, maana watendaji wengi wao kama si...
Tatizo la wanasiasa ni hilo, hawashangai kipindi cha uchaguzi wanapata kura zaidi ya idadi ukilinganisha na wanachama wao walio hai. Wanashindwa kujiuliza au wanajua ila sema uroho wanatupuuzia sisi tusio na vyama tunawapigia kura, mijadara mingi ya katiba ni jinsi gani katiba iwape madaraka...
Maafisa wengi wa wizara ya mambo ya nje. Wanajiona ni watumishi special. Na ujinga wa wengi wao sio wote hawajua wanawakilisha watanzania. Wanigeria mbali na makandokando ya watu wao lakini linapofika swala la kuwasimamia watu wao hawapepesi macho. Lakini nenda balozi za Tanzania, unaambulia...
Na mwelewa anaposema hii nchi sio ya wanasiasa peke yao. Ila kwa kauli hii, naona itaenda kutupa mgombea binafsi pindi watakapomaliza mchakato wa kukusanya maoni. Rais anajua kama wote sio wanasiasa ila kwa sisi tusio wanasiasa tukitaka uongozi tunaambiwa tujiunge na vyama vya siasa wakati sio...
Ndiyo maana nasema siku zote hakuna watu wenye roho mbaya kama wanasiasa, kwa roho mbaya ya mwigulu na wanasiasa wenzie, eti mikataba inayohusu watanzania isijadiliwe na wawakilishi wa wananchi. Eti kukaa kikao cha bunge siku mbili tatu miradi itachelewa ila miradi kuchelewa kufata sheria za...
Tatizo sio mitumba, ila kununua mitumba kwa bei ya brand new. Yaani sisi waafrika sijui tumerogwa na nani, na ndiyo maana kila siku hua nasema kama kungekuwa sheria inaruhusu kuchagua mtu wa kuua, basi kila mwaka tunapoadhimisha sherehe za uhuru basi mimi ningekuwa nachagua kichwa cha mwanasiasa...
Uzi upo page ya 40+ unataka kuunajisi, jambo kama unaona halikuhusu, kwanini usipite tu na zako. JF ni pana sana. Sisi wenzio tukiona uzi ambao hauruhusu tunajipitia na zetu. Kama tuna afya ya akili wasaikolojia tunawajua tutaenda tu. Jaribu kuwa mstarabu basi, usela mavi sio kaka.
Masters sio tatizo, tatizo ni kwenye malipo, ndiyo maana profesa wa chuo anakwenda kuwa mbunge anajua ndani ya miaka mitano malipo anayopata asingepata hata kama angefundisha miaka 80. Serikali iboreshe masilahi ya walimu alafu waone kama hizo masters hazito fundisha shule za msingi. Kupanga ni...
Katiba ya Tanzania ni 5% ajira 100 za wanzanzibar ni ajira 5. Na ni kwa wizara za muungano tu. Lakini leo hii wanzanzibar wanahudumu wizara zote. Viongozi wanaovunja katiba tukisema tunagewa kesi za uhaini. Idadi ya watu Dar es salaam kubwa kuliko Zanzibar, sasa sijui ajira zinatoka kwa uwiano...
Maana halisi ya jeshi la wananchi. Maana majeshi ya nchi nyingine yasiyo tambua yapo kwa ajili ya nani. Kazi ya majeshi hayo ni kulinda watawala na ukoloni mamboleo.
Tatizo la wanaccm kujiona wao ndiyo wenye hati miliki ya taifa hili. Mijitu mipumbavu hua inawaza ujinga, na ujinga hautalifikisha taifa mahali popote. Ccm imezoea kuwatia ujinga watanzania inapotokea watu wanaowaambia watanzania ukweli basi kwa gharama zozote watawateka, mfano Dr Ulimboka...
Nyinyi wakristo na waislamu mbona mnatuharibia nchi. Tunapokuwa tunajadili maswala ya nchi mnaleta upumbavu wenu wa madini yenu ya kikoloni hii nchi sio ya wakristo wala waislamu, hii nchi ni ya watanzania hili taifa la kipagani ndiyo maana katiba ikasema wazi nchi haina dini. Uduni pelekeni...
Kuna haja jf tukatumia finger print kuhakiki account zetu. Tunajua wengine akili zao ziko makalioni, maana huu upuuzi wa kumsifia malkia kapendeza ili hali yupo utupu, account zao zingewasuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.