Mkuu ilikuwa ni aibu, wananch tulipoona jwtz wanavamia ile kambi tunashangilia, mara kidogo wale wajeda wakala kichapo,kdogo wakaanza kutimua mbio kwny mashamba ya mahindi, wametuaibisha xn hawa wazee wa vifaru..
nkataman kwenda kuwasaidia bt kuona ffu wameizunguka kambi yao namie nkalala mbele...
Nikiw safarin toka dom 2 mosh, nimefka arusha ile road ya ktoka mianzin kuja stand kuu, nimekta zomeazomea ya mandamano ya ccm mpk aibu, yan njia nzima wanazomewa,nkawa nawaza ni kosa gn mmewafanyia hawa wananchi? kwel arusha kboko,nlikuw nawasikia tu leo nmeona kduchu!
kama haya ni kwel bas wanaccm wa songea ni zaid ya vilaza, yakowapi majb ya matatz ya wanasongea, taifa linakabiliw na deni furushi,ipo wap soln? et wazir wa fedha...
mmendekeza siasa hata matatz ya wananch mmetuachia
J4 mjusi ni jambaz maruf arusha,akiwa wa na mtot wake abdul wameua sn,wakenda court wanashnda coz wat hawatoi ushahd kuhofia maisha yao! huyo mjuc kuktoa roho wala hawaz x2, vyombo vya sheria vchukue mkondo hlo jambaz likamatwe!
watu mnaongea ka mzaha bt huyu mjuc ni hatari na ndg zake wamemtenga!
Kwa navojua siasa za arusha,polic wanatakiw kuwa makini sn,na wasiwe bias vngnevo machafuko yatatamalaki,yeyot akikanyaga katba sheria ichukue mkondo bila kujali ni magamba ama gwanda!
tatz lako siasa imewatawala, ni siasa ipi lema kaileta? lema ndo anawanyanyasa bodaboda? lema ndo trafc? kila jema linalofanywa na wapnzan kwenu ni baya, unadhan bila lema kn dc angewatuliza? mumshukuru lema kwa kuwastiri kwa hlo!
Hawa kila cku mnaokuja na sera za suruhu mbona huw hamgusi makosa halis ya zzk?
mnaongelea ju juu tu ooh cdm co mbowe,zzk wala slaa, ndo mana weng wanawaona ni wa lumumba wenye muono huo coz hamtak kuzama deep na kuanika usumbuf wa zzk tangu 2007 mpk leo.
zzk na nyendo za mashaka ktambo xn hata...
Article yk le mutuz ipo very bias, haipo std balanced, ipo kimajungu na kimapasho zaidi bro!
popote pale waasisi ni watu muhm hasa ktk ushaur ju ya nn chama kfanye ama kisifanye.
umemtaja mtei ju ya kupendekeza majina ya bob makan na mbowe na pia umeendelea kumcfia hayat baba wa taifa j.K...
Hizi ni hujuma za wazi za Magamba kwa kushuirikiana na Zitto mwenyewe kunyamazia ujinga huu ambao pia unazid kumchafua zzk, ukitizama kwa makini utagugundua mabango yote ya kaki ni mwandiko na mawazo ya mtu mmoja, herufi kutoka bango moja mpk lingine zinafanana, wanayo haki kufanya hivo lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.