Mama ni mzanzibar mwadilifu kuliko yule aliyetumwa na karume kwenda kununua meli ya mv mapinduzi. Angeenda chenge au mtu wa kutoka kabila la chenge ningekuwa na sababu ya kutia shaka. Ogopa sana male mzalendo anayetumwa kwenda kununua rada ya kulinda nchi yake anapiga diri. Harafu na mapato ya...
Acha umbeya wako makamu wa Rais huwa anafuata nini huko kisukuru?. Kwani kuna miradi ya maendeleo alikuja kuzindua huko. Labda alikuwa anapita tuu njia wewe unadanganya watu hapa
Rafiki yangu hakuna namna viongozi wanaotawala nchi katika mfumo wa vyama vingi wanaweza kuepuka haya, kukosolewa kwa lugha kali, kuchambwa kila wanapokwenda kinyume na katiba, kuzomewa kila wanapotamka kinyume na matarajio ya wanaowaongoza, kuburuzwa mahakamani, kuchunguliwa mpaka nyuma ya...
Makosa yapo mengi mimi siyataji tumsubiri Sugu aje atayasema maana yalimkuta. Kubambikiwa kesi, kuweka gerezani bila sababu, biashara yake ya hotel Desideria kutaka kubomolewa bila sababu, vyombo vya dola na taasisi za serikali kulazimishwa wamhujumu bila sababu n.k kiukweli ubaya wake ni mwingi...
Aalikuwa hakosi ibada ya asubuhi siku za kazi hata siku moja pale cathederal ya mbeya kama hajasafiri. Pia alikuwa mchangiaji mzuri kanisani zaidi ya MTEUZI wake.
Nimeshangaa waziri wa nishati, katibu mkuu wake na wahusika wote wa kitengo Mafuta bandarini bado wanaendelea kutumikia nyadhifa zao baada ya mkuu wa mkoa wa Dsm kufichua ufisadi huu kupitia vyombo vya habari. Raisi Samia ameagiza kila anayekosoa serikali yake atoe na mapendekezo ya hatua za...
Hapa hata cost of collection itakuwa haipo tena. Huu ni muarobaini tosha wa kutatua tatizo la ukusanyaji wa kodi ya majengo. Asiyetaka kulipia kupitia kwenye luku atumie sola au jenerator. Pia kama hutaki kumlipia land lord wako kodi ya jengo amua kuishi kwenye mahema. Au kopa ujenge nyumba yako...
Ukiona mtu kavaa uniform ya jeshi la polisi Tanzania hata kama ni mwanao mkwepe kwa kadiri ya uwezo wako wote. Mimi ningekuwa daktari hakuna mgonjwa wangu ambaye ni polisi angeweza kuepuka kifo. Kila anayefika kwangu ningempa kidonge cha sumu nihakikishe nimempa na maji ameze akafie mbele kwa mbele.
Hiyo wilaya ya chato iunganishwe na mkoa wa Bukoba ili uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato uwe kwetu sisi wahaya wenye pesa, wasomi, wenye mapesa ya kutumia usafiri wa ndege tufwaidi. Vinginevyo hapo chato patakuwa magofu kama kule badolite nyumbani kwa marehemu tajiri dictator mobutu seseko...
cocastic anatafutwa mtu wa kwenda kule kuzimu kwa njia ya kifo ili mwendazake apate uhai afufuke aje amalizie miradi yake. kama upo tayari kwenda wewe njoo in box tuyapange.
cocastic anatafutwa mtu wa kwenda kule kuzimu kwa njia ya kifo ili mwendazake apate uhai afufuke aje amalizie miradi yake. kama upo tayari kwenda wewe njoo in box tuyapange.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.