Mungu aniepushe! Umenikasirisha ewe mtoa mada hadi nikasikia nyongo inamwagika tumboni!
Kenya ni Tanzania? Siwezi kukuuliza level yako ya elimu sababu hata angekuwa mtoto wa miaka mitatu asingeweza kuongea hizi pumba ulizoleta hapa. Hata kama ni freedom of expression basi hii yako ni pollution...
Nenda kwenye maombi. Inawezekana hilo ni jini mahaba linakujia kwakutumia sura ya mpenzio. Hiyo inaweza kuja kuwa shida mtakapoishi wote kwani unaweza kujikuta ukipenda mapenzi ya ndotoni zaidi kuliko ya live. By the way uzinzi ni dhambi.
Hahaha! Ajira kwani ina nini? Mimi sijataja ajira ila nimesema at least awe focused in life. Unaweza kuwa na ajira kubwa still isikusaidie sbb yakutokuwa determined. Ww kwani uko wapi?
Mimi ni mdada wa miaka 29. Natafuta rafiki na kama mambo yakienda vema we can share the rest of our life together.
Sifa zangu
Dini - mkristo
Mrefu wa wastan around 168cm
Maji ya kunde
Umbo la wastani siyo mnene wala mwembamba
Elimu Ya chuo kikuu
Sifa za nimtakaye
Awe mkristo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.