Makadirio YA kodi TRA huwa ni ten percent YA pesa uliyonunulia. Lakini pia waweza kuwasomesha jamaa TRA wakakukadiria na kodi ikashuka ingawa kitu kidogo kinaweza kuhusika. Anyway Mara nyingi huwa wanakadiria kulingana na evaluation inayokua imefanywa na watu wa Land na pia mkataba wa manunuzi...
Aiseee, masikini Eng. Kapanda, this is very bad news to hear. Niliwahi kufanya nae kazi, dah inauma sana. Tumuombee kwa mungu watekaji wasimdhuru. Na kwa serikali hii ya sasa dah ilivyo slow kudeal na issue kama hizi masikini wa Mungu msimamie wamuachie salama.
Jamii Forums naomba msaada kujulishwa tatizo lipo wapi katika kutuma maombi na CAS kila nikijaza voucher namba kutoka TCU inaniletea meseji kwamba the namba inserted ipo invalid. Nimejitahidi sana kurudia kwa umakini zaidi lakini bado haikubali na inaleta the same meseji.
Please guys, tatizo...
Mleta topic acha uongo, eti watu wamefurika. Watu waliohudhuria wa kawaida sana. Hata kiasi cha watu waliohudhuria ufunguzi wa kampeni kwa Ester Bulaya walikua wengi mnoo.
Mbona pia hujatoa ripoti kuzomewa kwa Wasira?.
Mwana hakuna kurudi nyuma pamoja na kelele nyingi za baadhi ya wadau hapa JF. Utaoaje rimwanamke rililozaa bana?. Wanawake kibao mzee pick na utindue mwenyewe. Piga chini huyo faster.
Ok, anyway ufafanuzi wa mwisho, unajua nini mi nipo serious mkubwa usichoke. Kigara bado nashindwa kupatambua. Hebu niambie kipo karibu na wapi kati za hizi sehemu za buswelu wilayani. Ccm kule juu, voda yaan mbele ya ccm, karibu na ofisi za manispaa, hapa katikati mitaa ya kabwalo, mitaa ya...
Kata ya kigara?, ndo maeneo gani hayo?. Mi nilidhani ulivyosema kimepimwa nikajua pengine ni hivi viwanja vya buswelu alimaarufu kama wilayani. Sa hicho kiwanja chako kimepimwa na kipo ndani ya plan ya manispaa ya ilemela au ndo vile viwanja vya skwatazi?. Maana unasema kimepimwa na kinajulikana...
Superuser, buswelu ni kubwa, kama vipi ongeza maelezo ya sehemu hicho kilipo. Mi napajua buswelu na pia naweza kuwa interested kufanya biashara iwapo nitaona kipo sehemu nzuri. Nipe maelezo ya sehemu kilipo then will later come back to you for business.
Yaweza kuwa ni kweli walishaanza kuita, maana hata mie nimepata taarifa za huyo jamaa research officer (chemical & process) kuitwa na tar 20 atasign contract then tar 26 ni siku ya kuanza kazi. So yaweza kuwa washaita watu kwa ile intervw ya may, ila hii ya hiv karibuni inaonekana bado.
Ipo yangu naiuza; ni Ipsum 240 ya mwaka 2004, black, 2390cc, iliingia mwaka jana july kutoka Japan, so ina mwaka mmoja tu. Fuel consumption ipo powa sana 1km/10km. Kama vip nipe hiyo 13M nikuachie huo mkoko.
Hi People,
IPSUM 240S (IPSUM NEW MODEL), is for sale at 15M only, and herewith down please have a look on its specifications and different photos. However this car is found at Bunda (musoma), but also sometimes its used to be available in Mwanza. Therefore for whoever interested on this car can...
Mkubwa wala usiwe na shaka kuhusu beforward we nenda kalipie. Angalizo kama vip ingia kwenye web yao kwanza check zile hatua jins ya kuagiza gari hadi kufanya malipo.
Wana namba nyingi za account ambazo pia kuna kuwa sales manager responsible kwa kila namba. So kama namba ya account kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.