Nenda kwenye maombi kanisa la eagt city center mbagala kwa pastor katunzi kituo stand ya shamb ikitokea mtoto anaanza kukataa masomo na kupenda ngono hilo zee linaweza kumvut kwa uchawi akamharibu nishashuhudia hili takecarr
Tatizo ni kwamba hata kama ni kweli walitakiwa waseme mapema lkn sasa kumuondoa bashite ni kama kuwapikia pilau wauza unga washangalie kwa hyo huyu yuko saana hata waandike hadi mwakani hatoki kamwe.
Jifunzeni tofauti akina Tid walikiri na kukubali wakapata huruma ya kuwasaidia maana wamekiri na wametoa ushirikiana huyo jamaa kakataa ndio mana wakaenda hosptal so anakesi kasema uongo then anatumia.
Foundation koz itakusaidia kupata dgree,tumaini university au hapohapo open,usikate tamaa kasome utatoka mchezo wa kurisiti naujua uache soma foundation.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.