Search results

  1. B

    Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

    Ila wanaubaguzi hawa watu usiombe wewe wa bara ukafanya kazi zenji yani hatar ndugu yangu alihama usiku wa manane kakimbia kazi mwenyewe
  2. B

    Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

    Ukitoka bara unaitwa mnyamwezi....
  3. B

    #COVID19 Machozi ya Dkt. Mpango yasiende bure

    Uwe unasikiliza hotuba vzuri,,, mke pia anaweza tuma message kwa niaba ya mume
  4. B

    Rais Magufuli afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Prof Kabudi awa Waziri wa Mambo ya Nje, Mahiga apelekwa Katiba na Sheria

    Mi naona iko sawa tna huyo ni mzur zaid maana anajua sheria uncle amempenda ksa kupambana na weupe hao bila kuogopa na ni mtu mwaminifu thats all
  5. B

    Huyu Mzee nimfanye nini kwa Ushetani anaomwazia Mtoto wa Kaka Yangu?

    Nenda kwenye maombi kanisa la eagt city center mbagala kwa pastor katunzi kituo stand ya shamb ikitokea mtoto anaanza kukataa masomo na kupenda ngono hilo zee linaweza kumvut kwa uchawi akamharibu nishashuhudia hili takecarr
  6. B

    Nape Nnauye kuongea na wanahabari

    Hivi ataongea nini.,mabadiliko ni ya kawaida ktk kazi wangap wamebadilishwa wako kmya tu tena bestfriend,shauri yako maneno mengi madhara mengi pia.
  7. B

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    Hatua ndio hizo kazichukua ila pia nampa hongera professor wa sheria yuko vzur sana nategemea kwenye sheria hapo pamenyooka.
  8. B

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    Ma makofi kidogo kwa mkuu wa kaya....mambo kibao ya michezo kakaa kimya lkn la private sector anashikilia bango acha aisome nanba.
  9. B

    Askofu Gwajima aitwa Ustawi wa Jamii kuhojiwa

    Tatizo ni kwamba hata kama ni kweli walitakiwa waseme mapema lkn sasa kumuondoa bashite ni kama kuwapikia pilau wauza unga washangalie kwa hyo huyu yuko saana hata waandike hadi mwakani hatoki kamwe.
  10. B

    Ofisi za uhamiaji punguzeni gharama za passport

    Fuatulia nchi nyingine utajua pasport ya tz ni bei nafuu kuliko nchi nyingi
  11. B

    Dawa za Kulevya: Yusufu Manji afikishwa Mahakamani Kisutu, aachiwa kwa dhamana

    Jifunzeni tofauti akina Tid walikiri na kukubali wakapata huruma ya kuwasaidia maana wamekiri na wametoa ushirikiana huyo jamaa kakataa ndio mana wakaenda hosptal so anakesi kasema uongo then anatumia.
  12. B

    Hongera Hazina kwa kazi nzuri

    Hiyo nimeipenda,hata mawaziri wakiwa si wakristo upo mfumo kristo,jaman jama.
  13. B

    Mshahara tayari kwa watumishi wa umma

    Sema kwenu,bagamoyo kwa kikwete na kwa wazir wa elimu kama kawa hata dalilh hatujaskia,shukuru kivyako co ki wote.
  14. B

    Kazi kazi kazi nafasi mbili

    Ni me pm kaka,
  15. B

    Shampoo beipoa

    Nauza shampoo beipoa lita5 sh 7,000,litamoja 1,500.nipo dar tuwasiliane 0717215506,ukiniuzia madumu10 ya lita5 nakupa pesa.
  16. B

    Nafasi za kazi tasaf

    Nimeshindwa kufungua natumia cmu,msaad plse
  17. B

    je open university inaweza nisaidia kwa hili

    Foundation koz itakusaidia kupata dgree,tumaini university au hapohapo open,usikate tamaa kasome utatoka mchezo wa kurisiti naujua uache soma foundation.
  18. B

    Mwalimu wa MATHS

    Vp mwalimu wa maths natafta kazi nipo dar.
Back
Top Bottom