Hata kama hatotumia uchawi.. Kuchepuka ni Kuchepuka tu. Kuimba na kucheka yote ni makelele tusitake kuhalalisha upuuuzi. Mwenza yoyote akishachepuka kuna athari kubwa sana anaileta kwenye moyo wa mwanamke,kubwa sana.
Na ikifika hatua akasema basi, inakuwa basi kweli.
Weee kumtajia mwanaume GAWIO la kikoba ni kosa la jinaiii.. Mbona hutabakiwa na hata sent tano. Plans zote za pesa atapanga yeyeee hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio umaandazi wenyewe huo, kisha mtoto akikua unajitokeza kuleta vurugu.
Ndo maana tunawajazaga simu tangu utotoni sababu ya umaandazi kama huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wandugu,
Naomba kufahamu ama kujuzwa kama kuna mahusiano kati ya kuharibika kwa ngozi na unywaji wa pombe kali/bia? Na kama ipo ni kwanini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada na wengine mliosupport ni selfish sana.
Aina yenu ndo mnaosupport mwanaune kuna mwanamke nje ni uanaume lakini mwanamke akiwa na mwanaume nje malay**
...Waacheni wadada wa watu. Everyone has a different story. Stop judging!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.