Ndio nilienda hosptl,nikapewa dawa kama pencil ambayo ilifanikiwa kuviunguza BUT vikachipua vngine kwa kasi na wingi na vinakua daily, Stil nahitaji ushauri wa tiba.
Mimi ni mwanaume,nina warts kwenye maeneo ya pubic hairs na zinaongezeka na kukua baada ya kutumia dawa kama pencil hivi ya kuviunguza, Je dawa yake ni nini kuviondoa kabisa maana sivipendi?.
Nakubali ni urembo bt cmnajua pamambo yakizidi sana inakua kero.
Jamaa anaweza kua na mantiki kumkataza wife wake kutokana na mazingira,imezoeleka kuona madada wanaojiuza ndio moja ya dresng code so mume hataki wife wake wampotrait hvyo labda ndio sababu.Ni vyema wake mkawackiliza na kuenda...
Huyo rafiki anafurahisha,kwani anaumri gan kiasi anashindwa kujitetea kwa wazazi na kuweka mambo sawa kabla hayaja chacha,Nafasi bado anayo aongee na huyo X wake ajue hali halisi **** hayuko tayari kuolewa naye na kama akilazimisha akataka kuoa ajue huyo bwana sio muelewa na atakua hamueshimu...
Raia wema,
Tafadhali tusaidiane kupeana nws za watu waliokuwa shortlisted maana wengine tunategemea zaidi mtandao huu kuliko magazeti kutokana na mazingira tuliyopo, upatikananji wa gazeti ni nadra mno na kama likipatikana basi gazeti hilo ni la udaku.
just kupeana alart maana unakuta mtu...
Huyo HR sooo...mpaka skills za kumanage financial resources anazo..basi angefaa awe financial mangr coz dah....ni mbunifu wa kufind sources za funds...mimi nampa pongezi zangu za dhati kabisa. GOOOD JOB, Keep it up S. K. Kihiyo
Human resource manager wa KIBACHA COMPUTER TRAINING.
The husle...
Ndugu zangu,ndugu zangu wenye fikra pevu....naungana nanyi mimi Raia mvumilivu mwana wa Tanzania natokea huku kijiji cha mwananchi wa kawaida.
Tuko pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.