Hongera ni wazo zuri.
1.La msingi ni kuangalia wapi unataka kufanyia hiki kilimo
2.Utafanya kilimo cha aina gani,kutegemea mvua au utamwangilia
3.Upatikanaji wa maji huko shambani ukoje
4.Na mengine mengi ya kuangalia,ila fuata ushauri wa mdau hapo juu anza kwanza hicho kilimo kabla hujaacha...
Bank Account hio unaweza pata TIB Corporate Bank,Nenda katika Matawi yao ,DSM,Mwanza ,Arusha na Mbeya
Product inatiwa Jipange Fix au hata Jipange Flex zaweza kukufaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.