Tunaongelea nje ya jimbo lake pekee? Kwa hujui jamaa ana SMS program kati yake na WanaBumbuli? Aki= integrate anaweza kuweka mchezo mzima katika platform moja. Amka mbimbio. Swali langu ni je, walio juu yake au hata vyombo vya habari kama IPP mbona wasitume hayo maombi na wakafanyiwa hivyo...
Nimeibamba hii kwenye account ya Makamba Fesibuku. Imekaaje wadau? Hizi badge huwa wanapewa viongozi na taasisi kubwa katika mtandao wa Twitter. Naona jamaa kapata kabla hata ya CCM (ambao wako Twitter). A man popular and important than the party? Kama kuna wasomi CCM hebu nifafanulieni hili...
Mkuu acha kuweweseka.
Huyu jamaa hajawahi kuishi hiyo mitaa unayosema. Amesoma Galanos na amefanya kazi makambi ya Wakimbizi wa Ngara na Kigoma, Carter Foundation. Kasoma George Mason University, ni diplomat wa daraja la II (Tafuta kabrasha wizara ya mambo ya nje kama uko interested). Amewahi...
Heshima mbele,
Nimekuwa nikiangalia matumizi ya social networks kwa Salva na timu yake ya kina Michuzi naona wameanza kuamka kama sio kukumbuka shuka wakati kunakucha. Kuanzia matumizi ya blogs, facebook na twitter jamaa wameonyesha kitu. Maswali yangu ni haya kwa bwana salva, premi kibanga na...
Nikipenda hiki kijiwe. January anaonekana ni nyota inayong'aa. Mgogoro wa wakulima wa chai, suala la Bumbuli kuwa Halmashauri na kuanzishwa kwa shirika la kuharakisha maendeleo ya jimbo lake. Yote in such a short span.
Acha aendelee kutuumiza kichwa wabeba box.
Heshima mbele,
Wadau wiki liyopita huyu "mtoto mkubwa wa pili wa kiume" wa JK kaweka picha mbili za viongozi wabunge na mawaziri,Wassira na Komba katika ukurasa wake wa Facebook wakiwa wamelala, https://www.facebook.com/mkikwete (Wassira ni mshirika wa JK na ****** anamuamini,jana alikuwepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.