Search results

  1. A

    Yuko wapi Fred Mpendazoe?

    Pandikizi lilionwa na mwewe,kajificha,hata wapi alipo hatujui.
  2. A

    Baada ya mafanikio ya CHADEMA, Polisi nao waiga

    Udini siyo mfumo wa asili ya mtanzania,ni mbegu ya watu wachache wenye ubinafsi ,ambao hata vtabu vya dini haviruhusu,unamuabudu Mungu yupi ukamchukia mwenzako anayeabudu kama wewe?mafundisho ya upotoshaji yenye adili ya kisiasa tena siasa kipofo,ndiyo inatufikisha hapa tulipo,na si uelewa juu...
  3. A

    Maeneo yenye majina ya ajabu Tanzania

    Hey guysntunaruhusiwa kitafsiri majina kwa namna yeyote,lakini tujue utamaduni wa lugha zetu unaturuhusu,ndiyo maana. Tunakubali majina kwa historia zake,tukitafsiri ndivyo sivyo tutayaona yaajab,matusi,ayafai,na ni majina halali na yanafaa kwa mazingira na historia inayojieleza,kitalli zaidi...
  4. A

    DCI Manumba: Mwakyembe hajalishwa sumu!

    Jamani,uongozi ni sehemu tu ya majukumu,siyo kwamba viongozi wanaakili sana kushinda watu wote,Dr huthibitisha tatizo la mtu,je polisi wanapima afya ya watu siku hizi?Mwakembe anaumwa nini,waseme,polisi hawawasemei wataalamu wa afya,tunaweza amini ni kwelilisemwalo.
  5. A

    Kariakoo je ni miaka 50 kweli?mabwana afya wapo? Kwanini mavi mavimavi!

    Iwe mvua inanyeesaha au hainyeeshi kunanuka,mifereji ya mavi katika soko tegemezi na makazi ya watu je wanaishi watu?na mabwana afya wapo? reporti za kila mwezi zinaaandikwaga?zinaandikwa nini kwa hali kama hiyo?tujiulize kama watu wenye akili timamu,Wataalamu wapo uchafu haufuatiliwi au...
  6. A

    Tunaibiwa kielectronoc na makampuni ya simu/Tigo,JE MWALIJUA HILO?

    Je iwapo watu wanakutana na uizi ambao siyo rahisi kuushtaki,ni mikakati ganiambayo vyombo husika vinaweza kupanga kuchukua dhidi ya makampuni husika?Unaibiwa 10,000 katika systeem,na unapiga simu hawapokei,unaenda ofisini kwao wanasema hawapokeagi simu za wateja,na wakati simu inaita Inakula...
  7. A

    Miaka 50: Tumethubutu, Tumeweza na Tunasonga Mbele...

    Tuana sherekea miaka 50,nakujivunia,pia tunamacho yakuona sehemu muhimu za kazi za kijamii na makazi ya watu, KARIAKOO KARIAKOO,Afya kwa watu mbona haiangaliwi?ukipita kariakoo "MAVI MAVI" KONA ZOTE KUNANUKAAAAA!,inamaana mabwana afya hawafanyi kazi?hakuna Report zinazoandikwa zinazoonyesha hali...
Back
Top Bottom