Jamii ingeanza kutambua namna nzuri ya kuzungumza na hawa watu, jamii ingekuwa na upendo wenye kuondoa dhihaka, unyanyapaa, vicheko na kadhia zingine, jamii ingekuwa na uelewa kuwa hujafa hujaumbika... WENGI WANGEKUWA NA UJASIRI MKUBWA SANA.
Shida kuuuuubwa inaanzia kwenye jamii ngazi ya...
Najua sana vipo but the way watu wanavyosoma hii ni kama hiki kitu kilichoandikwa hapa kipo walati hii laurapettie si kweli hiki kilichoandikwa kiliandikwa kwa minajili ya kuchekesha tu
Jamani huyu Laura Pettie namjua vizuri sana. Facebook anatumia hilo hilo jina na ana blog yake ina hilo jina. She just wrote this for funny mara nyingi tu anaandikaga vichekesho. Sidhani kama kuna watu wamemchukulia serious kivile. Hakuna kundi kama hilo dada huyu alichangamsha baraza ndio...
Yaani hii inshu ya kivuko inanipa majuto ya kuhamia kwenye kakibanda kangu huku. Ni tabu tupu kwa kweli. Hakuna anayejali hakuna anayewajibika. Siamini mamilioni wanayokusanya kila siku yanashindwa kununua vivuko vikubwa viwili. Ama kufanya ukarabati thabiti kwa vivuko vilivyopo. Nchi hii kila...
Mkuu asante sana kwa maelezo yako. Nashukuru sana ndugu yangu naanza kuhisi ni kweli anaweza kuwa na tatizo hili ana linaloelekea na hili.
Amejitahidi kusoma mpaka chuo kikuu tena ufahulu licha ya kuw ana ulemavu huu ambao naona kama watu wanauchanganya na uziwi. lakini pamoja na kutafuta kazi...
MKUU SAMAHANI SANA kwa kuchelewa kujibu, niwie radhi kwa hilo lilikuwa nje ya uwezo wangu ndugu yangu. Kusema kweli binti hana historia ya kuugua ugua chochote cha ajabu wala ugonjwa wa aina yoyote.
isipokuwa alipokuwa na miaka 14 akiwa kidato cha pili alianza tu kuhisi kuwa hasikii vema yaani...
Mkuu asante sana kwa ushauri, ila hatujakanyaga kabisa kwa waganga wa kienyeji. Ingawa familia imegawanyika kila mtu anaamini vyake. wengine ugonjwa wa kawaida wengine wanaamini amechezewa lakini mgonjwa mwenyewe hajapelekwa kwa mganga ila tumejaribu tiba za mitishamba yaani dawa za asili kama...
Habari zenu wana jamvi, kwanza mnisamehe kwa ujumbe mrefu, imebidi niandike hivi ilie nipate kueleweka.
nahitaji msaada wenu ndugu zangu. Nina mdogo wangu wa kike wa miaka 26, tangu April mwaka huu anaumwa ugonjwa ambao mpaka sasa hatujauelewa.
Miguu inapata hali ya ganzi na kuhisi kama...
stock ya video Camera imekwisha kwa sasa, hii camera ni used ila iko katika hali njema kabisa sawa na mpya. na pia inachukua video sababu moja ya specs zake ni HD movie recording at up to 1440×1080 at 30 fps....ni nzuri sana mkuu na bei nimekushushia sawa na bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.