Shamba lipo umbali wa KM 15 kutoka barabara ya Dsm - Iringa na pia lipo barabarani katika barabara ya Mikumi - Kilosa katika kijiji cha Chikoga
Ukubwa wa Shamba ni Ekari 45
Shamba lina rutuba ya kutosha, lina visima vya maji na mazao ya kudumu kama vile Minazi, Migomba na Miembe...
Shikamoo Kaka Mtatiro.... Naamini katika zile Nafasi 10 za Mhe. Rais, ya kwako ipo. Natamani nikuone umekamata Wizara fulani ili maccm yaone tulivyo tofauti...
Shikamoo tena..
Mtalia sana mwaka huu....
Ngoja niwakumbushe kitu: Ukisoma kitabu cha Matendo ya Mitume katika Biblia, utakutana na mtu aliyeitwa Sauli ambaye baadaye aliitwa Paulo.... Huyu hapo mwanzo aliwatesa na kuwaua waliomfuata Yesu Kristo, akiwa kwenye harakati zake za kutaka kuwaangamiza wakristo...
Naamini sijachelewa... Shikamoo mwandishi, hakika umegusa kilindi cha fikra zangu, umeamsha shauku kubwa sana moyoni mwangu ya kuwa mstari wa mbele katika mapambano haya... Mungu wa Mbingu na Nchi na vitu vyote, akubariki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.