Wengi wao ni mazuzu hawajui kinafanywa na mwenyekiti wao.JK sasa hivi ni chadema 90%,yeye ameshasoma alama za nyakati na ndo maana sasa hivi hataki kupingana na CDM by any way!!.JK tunakutakia kila la kheri katika kutimiza harakati uliyoianza.WTZ tuko nyuma yako!! Kill CCM Kill!!!.
Kama mpango wake wa kukiua chama cha CCM utafanikiwa hadi kufikia 2015 na akaweza kuikabidhi nchi hii kwa CDM katika hali ya Amani! Basi heshima ya JK itakuwa cyo ya hadhi ya DR tena ila atastahili kuitwa PROF..Mungu amusaidie JK aweze kulikomboa taifa hili kutoka kwa wakoloni CCM.
Natuma shukrani zangu za dhati kabisa kwa rais wetu uliye pale IKULU ya MAGOGONI.Ni kwamba wewe kweli kichwa sababu kwa dhamira yako ya kuitoa CCM kwenye ulingo wa siasa ya Tanzania umeiokoa hii nchi bila wewe kujua.Namwomba mwenyezi MUNGU akujalie maisha marefu ili uje ushuhudie ile kaulimbiu...
Hivi watu wa RULAYU,JISESA,SANGA,RUKALANGWA,IGEGU,MWAMONDI,NGUNGA A+B,MWAMAGIGISI,MKULA,MWAMWENGE,MALILI,MALANGALE,SHIGALA,NG'WANIGA,RWANGWE,GININIGA,MIZWALE,MWAMAGULU,NYASHIMO NA NYAMIKOMA wote wameshapata kweli hii elimu ya uraia?.
Hakuna kulea uovu hata kidogo,ni mwendo mdundo na atakaye shindwa kuendana na hiyo supersonic speed apishe ili wengine wakalie usukani.Umagambagamba hatuuhitaji.Ukivaa combart ni kwamba hautakiwa tena kuwa legelege ni kukaza kweli.
JK ni janga la taifa.Kwa hali aliyonayo huyu vasco da gama ni kwamba kwa sasa hafai kuwa hata barozi wa nyumba kumi.Hivi ni kwa nini tunaendelea kumvumilia huyu mtarii wa kikwere.Natoa angalizo kwa ukoo wa KIKWETE kutokujitokeza mtu yeyote kutoka ndani ya ukoo huo akiomba uongozi wowote ndani...
Nimeipenda saaana hiyo mkuu.Hawa watu bila kuanza kuwaonyesha usiriazi wetu hawatatia adabu.Hawa majaji na polisiCCM mimi binafsi ninahasira nao sana tu.Inatubidi tuanze kuwachinja na wao mmoja baada ya mwingine.WATATUHALIBIA KANANI YETU HAWA.
wewe kweli ni great thinker nimekukubali make huyu ndugu yetu hakulijua kabisa hili la kesi kuzungushwa hadi 2015.CDM Wako sawa muno, na hapo kitakachofanyika nikufungua kesi ya kupinga hukumu baada ya uchaguzi mdogo kuisha.
FULL INDEPENDANCE IS AROUND THE CORNER. TANZANIA OUT OF CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) IS POSSIBLE.Hongereni wana Arumeru Mungu wa eliya na musa awe nanyi katika kuleta maendeleo ya kweli.
Ndugu wanaJF ni kwamba hali ya amani ndani ya kijiji cha Kakola kilicho jirani kabisa na mgodi wa dhahabu wa BARRICK BULYANHULU GOLD MINE imetoweka gafla baada ya polisi kuwatawanya wanafunzi wa shule ya Sekondari Bulyanhulu ambao walikuwa wanaandamana kudai walimu waletwe shuleni hapo ili...
Lazima wewe utakuwa cyo mtanzania.Uko hapa Tz kwa muda tu baadae utarejea kwenu somalia.Haiwezekani kijana mdogo kama wewe uwe na mawazo mgando kama hayo.Watu wa uhamiaji inatakiwa wafanye kazi yao kwa umakini zaidi ili wakupate na wewe.Mzalendo wa Tz hawezi kuwa kama wewe.
wewe mama TUNTEMEKE ni mzigo mkubwa sana hapa Jf.ONYO!!, Usiwe unapita hapa Jf kama bado uko kwenye siku zako za MP sawa bibi?.Hata msikitini haturuhusu wanawake walio kwenye cku zao kuingia wala kusogeza tu pua zao kwenye eneo la msikiti..Mwikoooo!!!.
Baada tu ya nyerere kupanda ndege kwenda St.Thomas,huku nyuma Komba alinong'onezwa na mzee mkapa kwamba atunge nyimbo za maombolezo kwa sababu ya kwamba mkapa aliamini kuwa mwalimu asingerudi akiwa hai.
Mzee mkapa amevuna alichoenda kukipanda arumeru,na bado waTz tunahasira naye.Sasa cjui ni kwa nini ameuwasha tena huu moto ambao ulikuwa umeshaanza kuzimika kwenye hakiri za waTz?.For real ni kwamba mkapa ndo aliye muua JKN ili awafurahishe mabepari.(UK&USA).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.