binafsi naangalia penzi la kweli na sio dini, mungu alipoumba adam na hawa , hakuweka udini baina yao ... ila waliunganishwa na penzi na uelewa kua MUngu yupo na anapaswa kuheshimiwa.
wasabato na wayahudi ni mbingu na ardhi. kwanza wayahudi hawaamini kama yesu alikuja duniani. halafu pia sisi wakubwa zetu ni wakatoliki, kwa kua tulitoka katika ukatoliki... tukaitwa waasi na kuwindwa ulaya nzima, wengine kadhaa wakiuliwa kikatili na wengi wakikimbilia amerika ambayo ilikua na...
wafarisayo mpaka sasa wapo, ndio hao wanaitwa Rabbi, wako Israel... ndio hao wazayuni , sio sisi. kama hujui uliza. wakati wa enzi za yesu, hakukua na kitu kinaitwa wasabato. wote walifata imani moja, walieenda hekaluni siku ya ibada na wakaabudu. kama unakumbukumbu nzuri , hata mariam alikwepa...
hatuna ubaguzi wowotw. ukimkuta msabato anabagua , ujue ni feki na asiemjua Mungu. misingi ya maisha ya kisabato rahisi na yenye mvuto wa kipekee. binafsi naipenda na siwezi kuiacha
shida uliyonayo ni kuamini kua siku ya saba ndiyo sabato ya bwana. shetani amekua akijitahidi sana kuifunika ila ukweli haufichiki. Yesu alifufuka lini? ok....ilikua siku ya kwanza ya juma. hesabu kuanzia hapo utajua ya saba ni ipi...
60 Bible Facts on theSeventh-day of the Week1. After...
miaka 300 iliyopita , kulikua na changamoto ulaya. wafuasi wa dini wanamapinduzi almaarufu waprotestanti walijitenga na imani kubwa iliyokua inatawala dunia miaka ile ya ukatoliki. miongoni mwa dini mpya zilizozaliwa kipindi hicho ni waadventista wasabato, ambao walilamua kuishi kwa kufata...
kaka, hatuna matatizo yoyote yale. usabato ni dini nzuri sana. tatizo ni kua wengi tunapenda mambo rahisi na njia za mkato. Mungu anahitaji kuheshimiwa na kuogopwa. ukiisoma biblia utaelewa nachokuambia. huitajikua msabato, just soma na ishi katika misingi ya biblia utaona raha yake. ijue kweli...
waadventista wasabato tunaongozwa na misingi ya biblia. yes, kitimoto ni marufuku -- ni agizo la Mungu, upande wa soda za coca cola, binafsi mbona ndicho kinywaji changu kikuu?! hapo watu hua wanachanganya kati ya kanuni za afya na kanuni za biblia. kanuni za afya ni maamuzi yako binafsi...
ni kweli, lakini ni wakurya. jamani, musoma hakuna kabila moja pekee. mimi ni mjita , na hayo mambo hakuna kwetu. pia binafsi nimezaliwa na kukulia Kahama na mpaka leo wazazi wangu wanaishi Kahama. najua kisukuma zaidi ya kijita, na hua najiona msukuma pure. mambo ya ukabila kwa kweli ni kitu...
salaam wanajamvi,
Leo nimeamua kuandika kuelezea umma namna udini na ukabila ulivyojengeka nchini, hususani katika mapenzi. Mimi ni mhandisi mhitimu wa chuo kikuu nina miaka 28. Mara ya kwanza kujihusisha na mahusiano ilikua mwaka 2006, wakati huo nikiwa form 6. Nakumbuka ilikua Dodoma...
habari jf,
mimi ni kijana wa mwenye miaka 26, natafuta mchumba wa kike ambae nitakuja kuishi nae baadae kama mume na mke
Ni mwanafunzi uhandisi wa mawasiliano(finalist), mkristo. Ni mrefu wa wastani, pia mwili wa wastani, rangi maji ya kunde.
mchumba awe: :
1. Mwenye umri usiozidi miaka...
ha ha ha haa! Najua mtarudi kesho, karibu wote. Tuweke dau, nchi hii watu waoga kudai haki zao. Wafanyakazi nao si ilikua hvi hvi, david kibamba na katiba je?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.