Kwanza habari zenu nimewamisi sana kitambo sijatia timu hapa.
Hii imenitokea mimi mwenyewe na kunikosesha raha kabisa.
Wiki kama mbili hivi tulipata barua ya uchumba ya mtoto wa dada yangu tunaishi nae kwa wazazi wangu baada ya dada kufariki. Wazazi waakaijibu vizuri haikuchukua muda...
Hapo tu ndo huwa nawapenda sana Wakatoliki yaani nilikwenda kutafuta cheti changu cha kubatizwa wakati nikitaka kufunga ndoa nikakuta kumbukumbu ipo sawia kabisa yaani hata kama umebatiwa 1900 utapata kumbukumbu zako zote utaratibu wao mzuri sana naupenda kweli.
Kwa vile ulivyoongea naona uko upande wa Uhuru. Mambo mengine huwezi andika humu usijetafutiwa ushahidi bure........
Nachokwambia nina hakina nacho sababu nimeshuhudia kwa macho yangu si ya kuambiwa na mkwanja nikapewa bila kujua ni wa nini wewe bana wewe siasa za Kenya tuziache tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.