Hapa inabidi tujue bei ya sony bravia inch 40 brand new ni sh ngapi tutoe gharama za kuitengeneza hii ndo mteja aamue anunue mpya ama anunue hii arekebisho screen. Kwa mafundi wa spea za flat screen hii inawafaa sana pia. Ama mtu upate tv ambayo kioo ni kizima ila mbovu then uwekewe hapo.Inch 40...
Simu Used Full Box iko sokoni,Full Documents.
Brand; SAMSUNG A21s
Internal; 64GB
RAM; 4GB
Condition; Iko kwenye hali nzuri,nimeitumia miezi 5 tu.
Location; Dsm.
Price/Bei; 350,000/-
Mawasiliano; Njoo PM kama tutaelewana hapa.
Karibu tuongee BIASHARA.
Natafuta Frem kubwa ya kupanga kwa ajili ya Biashara,ukubwa iwe kuanzia 30×30ft iwe eneo lililochangamka ama linaloanza kuchangamka...
Ikipatikana maeneo ya
-Kibamba (Kibamba Ccm/Kwa Mangi)
-Mlonganzila
-Njia Panda Shule (Kibamba)
-Gogoni na
-Kiluvya
Itapendeza!
Frem iwe ina Umeme na...
USHAURI:...
milioni 8 ni ndogo kama huna business plan nzuri na ni nyingi ukifanya Vise versa...
Kwa kuwa unataka kuwekeza kwenye vyombo vya moto, nunua Bajaj... Usinunue hivi Bajaj zenyewe zenye jina hilo hilo Bajaj, nunua inayoitwa TVS KING. Ina nguvu na Injini yake inavumilia angalau kuliko...
Kama hiki ulichoandika ndio ukweli mtupu (nafsi ikishuhudie) mama naomba nikupe pole kwa herufi kubwa "POLE". Pole saana Madame,
Kama mtu haongei vizuri na Baba yake mzazi kwa sababu ya utetezi juu yako na naamini baba yake ni mtu timamu basi "aliyekuwa mumeo" ana matatizo saana.
Kwa kuwa...
Haiwezekani yeye ana matatizo tuuuuu... Tupe na kuhusu wewe kidogo madame, maana hatuwezi kukupa full hongera na pole bila kusikiliza upande wa pili. Anaweza kuja mumeo hapa naye akaanza kushuka essay basi ikawa tafrani.
Twambie ni kweli alipendelewa na Mahakama au Mahakama ilitenda haki, maana...
Mpaka sijapata kuridhika kama hawa wanaojiita Watumishi wa Mungu nivl kweli wanamwabudu Mungu huyu huyu aliyempa Musa amri 10 au wanamwabudu "mungu"....
Maana wakati mwingine mtu unashindwa kuelewa huu utajiri wao mbona unakuwa na ukakasi?
Naweza kukubaliana na wewe kiasi fulani...
Na mimi nimefanya utafiti mdogo makanisa haya..
La Kakobe
La Mwingira
La Nabii Flora liko Salasala
Kuna na jingine liko Kibamba ukishatoka darajani kama unaemda ubungo.
Na nimekutana na waumini ana kwa ana na nikawa naongea nao privately baadhi...
Mimi nimefika katika Kanisa hilo "Nabii" Josephat Mwingira.
Kama mleta uzi alivyosema japo sina uhakika na vipimo vya eneo, na idadi kamili ya waumini, ila asilimia kubwa ya alichoeleza ni kweli.
Ni ndanindani kabisa ukitoka lami, eneo ni kubwa mno lina kila kitu.. Nilienda nikipelekwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.