Mmmh! Ama kweli jina la mtoa mada linajieleza maana wao bado wako sekondari hata haki zao za msingi wanaogopa kudai kisa fimbo na suspension.
VIVA UDSM
Nina mashaka na Uraia wako wewe uliyepost hii thread... Lakini pia nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri koz unatumia hisia zaid kuliko mantiki. Nani kakwambia matatizo yanakimbiwa?
Jamani Bima ya Afya wananikera sana yaani toka nimeomba kupewa kadi sasa ni mwezi wa saba hawajanitengenezea wakati kwenye mshahara hela yao wananikata. Mbona huu ni wizi wa mchana kweupe au maombi ya huku mikoani hajashughulikiwi?
Hakika watu kama akina Afande sele nina mashaka na uwezo wao wa kufikiri lakin daima Mapinduzi huletwa na wachache. VINEGA ndo dawa ya Wafu Fm mpaka kitaeleweka tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.