serikali Tatu au moja. HAKUNA mbili. Hyo busara au inteligensia ya MBILI imepitwa na wakati. Mkituzingua kila Mkoa unadai Serikali yake na hatimaye kila halmashauri.
mpango mzima. serikali moja au tatu. hakuna mbili. kama vp kila mkoa na serikali yake. na kama mbili ndo zafaa basi iwe kwa zamu, na sasa iwe ya Tanganyika. Kwa maana ya kuwa na serikali ya muungano na tanganyika...! Hapo vipi? Si twataka 2 ?
private issue kivip? nyie ni mwili mmoja! kwani mkiachana au kutalikiana si unaweza kureset codes?mimi naona kuweka zuio kaika hilo kunaendana na KUTOJIAMINI, KUTOKUWA MWAMINIFU NA UMALAYA.kama amewahi kuwa na mtoto nje kabla ya mahusiano ya sasa unataka akuambie, kama ana tatizo lolotela kiafya...
kabla ya kufika bwiru girls ulikuwa umewahi kuhisi unavutiwa na wanawake wenzako?
mbali na huyo kuna mwanamke mwingine unayefanya nae? kama haya sio basi una nafasi kubwa ya kupona na kuacha na tabia hii.
kitu kizuri katika hili ni kuwa wewe mwenyewe unatambua kuwa una tatizo na uko tayari...
hao wanaotajwa kuwa watulivu hawana manjonjo kabisa wakati wa ku du, kazi kulalamika tu. sio watamu kabisa.Yaaani arusha kila nikiibua mzigo hovyo tuuuu. wa bariiiidi. mpaka ikabidi nianze kuuliza origin yake. cku hizi nabahatisha warangi walau nafurahia huduma. SASA HUENDA IKAWA NI WATULIVU KWA...
.....
Vipi kuhusu uwezekano wa mshindi wa pili kuanza mikakati ya kumwinda mshindi wa kwanza ilimradi tu yeye ndi achukue nafasi? mimi nadhani sheria ikiwa hivyo.
Kesi za kupinga matokeo zitakuwa nyingi, hata zile zisizokuwa za msingi ili mradi tu mtu anyang'anywe ushindi. Pia vitendo vya...
ukute kashauriwa na waganga wa kienyeji.............maana siku hizi kuna upuuzi mwingi wa kuleta utajiri. wee unaona bora kipi, akubali kukutoa wewe sadaka, aambiwe asilale kitandani au awe anakagua pochi yako kila siku?
msingi sio kujima wananchi nafasi au haki ya kuongoza.
tujiulize pia, kuweka umri kulilenga nini?
wakati sheria inatamka walau darasa la saba haikubagua watu? by then wananchi wote walikuwa wamefikia std 7? au wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika?
wenye degree walikuwa wangapi?
sasa hivi...
akimaliza hili, atusaidie kwenye " ABIRIA KULA NA KUCHIMBA DAWA DK 5" INAUDHI SN. TUPEWE WALAU NUSU SAA! NA WENYE VYOMBO VYA USAFIRI WASHINIKIZWE KUTII HILO! PIA HATA BEI ZA SEHEMU WANAZOTULAZIMISHA KULA ZIANGALIWE.NI KUBWA
ukiristo na uislam vyote kwa pamoja vimeikuta aridhi ya tanganyika, pemba na ugunja!
kwa nini tunatumia nguvu nyingi kuvifanya vituletee uhasama?
kama wewe ni muumin wa kweli wa dini (yoyote kati ya hizo) huwezi kutumia kivuli chake kuanzisha vurugu! please tuwe makini na maneno yetu kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.