Search results

  1. K

    Viongozi wa dini wakikemea kikundi cha UKAWA-nje kwa kujihusisha na mchakato wa Katiba mpya.

    Katu usimkufuru mungu wako aliyekuumba na kukujaalia huo ujinga wako ukadhani wilbroad slaa ndiye jibu la ulivyokirimiwa.walaaniwa wamo ndani ya jamii zetu basi na tuwavumilie. Kuunda kambi ya upinzani bungeni haikuwa na haina mshirika ila leo kwenye kutafuta mipango ya hila kwa wananchi...
  2. K

    Kikwete: Bunge Maalum la Katiba likivunjika, Katiba ya sasa itaendelea kutumika!

    Mtaishi kiabunuasi na kibulicheka mpaka mtakapojitambua km ninyi ni wafu kwenye hii dunia au la.
  3. K

    Kikwete: Bunge Maalum la Katiba likivunjika, Katiba ya sasa itaendelea kutumika!

    Kufikiri ujuacho na utakacho ndicho sote tukitake ni uzembe wako wa maisha.kumtukana binadamu mwenzio kwa nafasi yoyote aliyonayo kwa jamii ikawa ndicho ujuacho na ukitakacho ni laana.huko ni kujitukanisha mwenyewe. Hakika yote mnayomtuhumu kiongozi mkuu wa nchi na au hata yeyote vile tu una...
  4. K

    Pamoja na JK kuhutubia Nchi juuu ya Rasimu kumbe watanzania wanataka Serikali ya Tanganyika ?

    Ni kweli na chanzo chake ni usomi wa kukariri, kunakiri, kusiko na kufikiri wala kupambanua.hakuna jipya.
  5. K

    Sasa Wazanzibar ni wa Mkataba tu ama Ujirani mwema. Hatutaki tatu!

    Kama ni ndoa ilishafungwa iwe mume ni zanzibar au tanganyika sasa mkataba unaingilia wapi kama si tamaa ya mali iliyopatikana baada ya ndoa au kama si dhuluma inayowaka kwa waja wake?
  6. K

    Pamoja na JK kuhutubia Nchi juuu ya Rasimu kumbe watanzania wanataka Serikali ya Tanganyika ?

    Ni kweli walivyosema wahenga kuwa hata mapepo na mashetani wana maswahiba wao hapahapa duniani.wanawabudu na kuwatukuza maana sera zao ni matamanio ya wanadamu.
  7. K

    Compare & Contrast: Hotuba ya Jaji Warioba v/s Rais Kikwete!

    Warioba alituletea maisha ya kufikirika na matumaini ya hewani wakati raisi ametuletea uhalisia.ila nchi hii ya wa kukopi na kupest tuna shida ya utambuzi na hatuko tayari kupokea uhalisia sisi ni ma alinacha wa kujenga ghorofa hewani vile tuna dhahabu, almasi, gas, maji na tunapumua, everything...
  8. K

    Wenyeviti wa vyama pinzani wakutana

    Ugomvi wa kugombania sahani ili upange foleni ukachukue chakula mara zote huwa mkubwa na mpana kuliko ugomvi wa kupakua chakula chenyewe. Maana hata ukifikia kupakua ukakuta kimeisha hutamlaumu aliyetangulia wala ajaye nyuma yako maadam umekuta kimekwisha.waache wakazane na kugombania sahani...
  9. K

    Hizi ni hoja zilizoibuka mara tu baada ya Kikwete kumaliza hotuba yake! Wewe una hoja gani?

    Shida hapa wengi wenu mnafikiri dunia iliumbwa ulipozaliwa wewe.na historia ni ile unayoijua wewe.maisha ni yale uliyonayo wewe. Maana hata hukumu ya kosa ni kuonewa vile ulivyofanya lilikuwa ndo takwa lako.
  10. K

    Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    Mazingira ya wilaya ya ludewa ni mazuri na salama kwa kuishi kikazi ama kiujasilia mali. Baranara kuu zipo na za halmashauri, umeme upo kwenye baadhi ya maeneo na sasa mchakato unaendelea kuweka umeme vijiji 40 kati ya 77 vilivyopo.maji nayo si tatizo kwa baadhi ya maeneo.karibu mbona ludewa ni...
  11. K

    Kafulila afichua siri za watumishi - kuna wanaolipwa 20,000,000/= kwa mwezi

    Big up Kafulila,wewe ni broad minded MP kati ya mliopo mjengoni.Shida hapa ni sera (policy). Angalia mfano wangu.niliajiriwa 1978 kwa mshahara wa tshs 770.=per month.wakati huo dola exchange ilikuwa tshs 6.95/$ maana yake nilikuwa napata $ 110.00/month. Nimeacha ajira mwaka 2004 kwa mshahara wa...
  12. K

    Nikiingia Ikulu kesho AGREY MWANRI WAZIRI MKUU

    Ni kweli kabisa Agrey yuko mahiri si kujibu tu hoja za mjengoni bali hata akiiwa field ni mtu anayejua nini kinafanyika na watendaji wake kabla ya wao hawajamzungusha kama gurudumu.mimi nawapongeza mkuu wetu (J,K)na waziri mkuu kwa kumwona Agrey kuwa ni jembe halisi la kitanganyika kwa watanzania.
  13. K

    Nini Faida ya Kuwa na Serikali ya Tanganyika?

    Tanganyika ni dira,dhamira,utaifa,mtazamo,kiu,thamani ya maisha yaliyopotea kwa watanganyika mara tu baada ya muungano kuasisiwa.kuna faida nyingi sana kwa kuwepo nchi na serikali ya tanganyika.Ni kweli wengi wanaoidai Tanganyika leo hawaijui bali kwao TANGANYIKA ni historia, ni kama kitu cha...
  14. K

    Nini Faida ya Kuwa na Serikali ya Tanganyika?

    Tanganyika ni dira,dhamira,utaifa,mtazamo,kiu,thamani ya maisha yaliyopotea kwa watanganyika mara tu baada ya muungano kuasisiwa.kuna faida nyingi sana kwa kuwepo nchi na serikali ya tanganyika.Ni kweli wengi wanaoidai Tanganyika leo hawaijui bali kwao TANGANYIKA ni historia, ni kama kitu cha...
  15. K

    Maamuzi ya kamati ya utendaji ya CUF - Taifa (kikao kimemalizika leo Zanzibar)

    Hii mode ya kufukuzana ni matunda ya katiba mbaya iliyopo, iwe kwenye ajira serikalini/binafsi/taasisi/chama cha siasa n.k. kwamba pamoja na mazuri yote waliyokifanyia chama cha cuf, iwe kukichangia/kukiimarisha/kukitetea n.k vinamezwa na kufishwa na kaneno (dismiss) kufukuzwa. ths is very...
Back
Top Bottom