Mi nawashangaa mnakomb na mia mbili,mbona wabunge walivyojiongezea posho kuwa 200,000 hamkung'aka?200 na 200,000 ipi kubwa?wabunge nao wa dar wanachachamaa eti kwa 200 wakati watu wanakufa na mafuriko,mtu wa mbezi kimara hadi afike posta anatumia tsh ngapi?acheni ujinga,kweli kama huna 200...
Uliza kwa mutu yeyote,mtu akiwa bahiri ujue lazma atakuwa mchoyo na mtu akiwa mpenda kesi atakuwa mkorofi,kwa mpare ni bahiri na anapenda kesi ushaidi ninao.Jumlisha haya yote jibu utalipata.BAHIRI+KUPENDA KESI=?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.