kwa faida ya wale ambao si wenyeji wa mkoa wa kagera na labda hawajajui historia ya makabila ya mkoa wa kagera ni kwamba kabila la wanyambao na wahaya ni sawa kama yalivyo makabila ya wasukuma na wanyamwezi kwa maana ya kabila mbili tofauti kuwa na lugha, tamaduni, na mila zinazonayoelekeana
Acha kuendeleza uzushi hii eneo halikuwawah ikumilikiwa na mtu ilikuwa ni hifadhi ya serikali ya misitu, habari ya fidia inatoka wapi, unajua hata sasa STAMIGOLD pamoja na kwamba ni taasisi ya serikali kupata kibali kuchimba hii pit mpya kutoka wizara ya mali asili na utalii, imewacost muda...
ukiona hivi ujue jamaa kawabania kuiba ndio maana wanaanza uzushi . wana jamvi ignore huu uzushi ukweli hali ya pale imekuwa ngumu kwa sasa kwa upande wa kudokoa so njia pekee ni kumuondoa huyu Mhandisi mzalendo Denis Ssebugwao ndio maana ya huu uzushi mnaouona
is a list of cities and towns in Tanzania.
List of cities in Tanzania
Rank
City
Census Year / Population
Region
1978
1988
2002[1]
2012[2]
1.
Dar es Salaam
769,445
1,205,443
2,497,940
4,364,541[N 1]
Dar es Salaam
2.
Mwanza
110,553
172,287
476,646
706,543[N 2]
Mwanza
3.
Arusha
55,223...
Hivi nyie hamjawahi kujiuliza kwanini Inasemekana Tazania ni nchi yenye amani, utulivu na mshikamano? kwa sababu ya (ashakum si matusi) wajinga/wasiona uelewa ni wengi, hivyo hawana uwelewa wa kuhoji mambo na politicians do take advantage of majority ignorance kupiga bao. Kuna post nimesoma...
NICE PIC Hivi inakuwaje wakati naishi Dar nilipaona pa kawaid sana ila sasa baada ya kuhamishiwa mkoa natamani sana kurudi Bongo jamani na joto lake????
hahahaaaaa... Miwatamu umenikumbusha kisa kimoja jamaa alikua na demu wake ksoma sana sasa wakati wa kudo.. demu anamtolea nguo anamwambia mshikaji aendeelee huku yeye dem anaendelea kula kumalizia chapter kwenye noval yake.....
kazi kwelikweli...
hahahaaaaa... Miwatamu umenikumbusha kisa kimoja jamaa alikua na demu wake ksoma sana sasa wakati wa kudo.. demu anamtolea nguo anamwambia mshikaji aendeelee huku yeye
um
[Mwenzenu nikishawaza kwamba kuna ku-chitiwa nakata tamaa ya kuolewa kabisaa. Wanaume wenyewe wa siku hizi wakimwangalia mwanamke makalio mimate inawatoka ovyo]
sasa nyie dada zetu mmetuendea hadi kwa wachina kuongeza hizo kalio mnategemea nini? mtaendelea kutulaumu bure wakati chanzo ni nyie
Hii sredi nimeivumbua jana make mi si mwenyeji sana JF na nimesoma page zote 1 -25 kusema kweli sina cha kusema ngoja nitafakari angalau wiki nijue pa kuanzia,,, make mimi ni mshabiki mkubwa wa filami za ki Nigeria na kama mnavyojua almost more than 75% ya filamu hizi huonesha mambo ya...
jamaa wameamua tu kuwa wawazi ila kimsingi sioni tatizo kwani jambo hili si geni kabisa nani ambaye hajawahi kutoa hamu nje relationship yake na awe wa kwanza kushangaa...sema jamaa wamekuwa wawazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.