Kuna haja ya makusudi kabisa kuwa na zimamoto kila halmashauri ya wilaya. Hivi karibuni hapa Pangani kuna gari iliungua moto mpaka ikawa majivu wakati tunsubiri zimamoto itoke Tanga umbali wa kilomita 50.
Katiba hii inayopigiwa kelele baada ya miaka 10 itahitaji marekebisho ya katiba kwa sababu inatungwa na wanadamu. Lakini katiba ya mungu leo ni miaka 1433 haihitaji marekebisho yoyote. Mungu anatunga sheria, binadamu wanajiwekea kanuni na masharti. G9t.
Mahakama ya kadhi iliyofutwa kwa mate ilikua ya mambo matatu tu, mirathi, talaka na ndoa. Mahakama waliokuwa wakiitaka waislamu ni ya mzinifu kupigwa mawe mpaka afe, mwizi kukatwa mkono n.k CCM ikawashinda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.