Search results

  1. R

    Nyoni, Mtasiwa, Mponda, Nkya Must go!

    kwa mtazamo wako hizi fani ndo zina maslahi ya haraka??unamaanisha halali au haramu?kipimo cha kipato ni mshahara na ndio huo usio na zengwe wala kulazimika kujibembeleza kwa mtu ili usainiwe maombi ya posho,mshahara ni dhamana inayoweza kukudhamini hivyo ukiwa mkubwa utadhaminiwa kwa vitu vya...
  2. R

    Nyoni, Mtasiwa, Mponda, Nkya Must go!

    Hii ndio ile inayoitwa inferiority complex...hapa hujengi ila unabomoa na hutaki kuukubali ukweli kuwa wengi wa waliosoma PCB wana uwezo wa kusoma coz yoyote ya Art in a post graduate level..lakini ni wachache sana waliosoma Arts/Biashara wanaweza even kudare kusoma Sayansi....!Huu ni mtazamo...
  3. R

    Dakika 45 ITV: Jobu Ndugai apasua siri jinsi nchi inavyofilisiwa na serikali iliyoko madarakani

    Na kwa taarifa yenu msiojua...huyu ndio miongoni mwa wale wabunge waliopita bila kupingwa 2010....!Nawaonea huruma sana wananchi wa jimbo la Kongwa
  4. R

    Ajira za walimu wiki ijayo

    Siku hizi wanalipa fedha ya kujikimu just ukiwasili ofisi ya wilaya/manispaa uliyopangiwa unapewa chako then unapelekwa kuonyeshwa shule utakayofundisha kama iko mbali na makao makuu. na mwisho wa mwezi unaukuta mshahara wako
  5. R

    CV ya Naibu Waziri wa Elimu Philip Mulugo: Je inatosheleza kusimamia majukumu aliyopewa?

    Kasoma miaka yote hiyo primary?au ndo ile ilikuwa inaitwa kukariri?yaani kurudia darasa? alaf leo anawahukumu watoto eti wamefanya udanganyifu....!na alianza kufundisha kabla hajagraduate?Huyu anabalance tu equation ya JK lakini sifa hazitoshi na ndo maana wanashindwa kutafuta suluhu ya matatizo...
  6. R

    Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

    Possibly makeke yake ulikuwa unayaona kwakuwa alikuwa kwenye power,,kwasasa yuko pembeni kidogo hivyo si rahisi kuonyesha...lakini kiukweli huyu mzee pamoja na mapungufu yake ni AMSHA AMSHA ile mbaya akiwa na Authority.
  7. R

    Sugu awaonya wakazi wa mbeya mjini

    Wako unafikiriaje?pliz tell ili tulinganishe
  8. R

    Sugu awaonya wakazi wa mbeya mjini

    Hao unaojaribu kumlinganisha nae hawakushinda hizo chaguzi where as Sugu did win hivyo ulinganifu huo si sawa na kuhusu utabiri wako inategemea na vigezo vyako bt halahala usijekuwa kama late Sheikh Yahya or TMA (Watabiri wa Hali ya Hewa Bongo) na tabiri zao
  9. R

    Kumbe Rais wa Muungano akiwa Zanzibar yuko chini kwa Rais wa Zanzibar

    Tumia swali hili kujibu swali lako...!inakuwaje pale mkuu wa mkoa anapomwalika mkuu wa nchi katika maadhimisho ya sherehe za mkoa husika?
  10. R

    Jeshi Vs mfumuko wa bei

    Jana katika taarifa ya habari ya TBC1 saa 2usiku nilistaajabu kidogo kusikia Mkuu wa kikosi cha wanamaji Meja jenerali Omari akilijuza Taifa sababu za kupanda kwa bei ni uharamia katika bahari Hindi. Sijui mi ndo sjaelewa au?maana nilidhani taarifa hizi zingetolewa na BOT au waziri wa Fedha kama...
  11. R

    Magufuli hajasema kweli; Anaficha Udhaifu wa Serikali na Wizara yake

    Nimesoma gazeti la Majira la jana 9/1/2012 Mh. ukimkabili Magufuli kwa kudai kivuko ni huduma na si biashara. Naomba weka huo mstari wa kutenganisha kati ya huduma na biashara na kama ni kwa kigezo cha kuwatoza wananchi ebu zitazame Hospitali za Umma, Mashirika ya Umma ya Huduma za maji (kama...
  12. R

    Magufuli hajasema kweli; Anaficha Udhaifu wa Serikali na Wizara yake

    Wewe ni miongoni mwa wabunge ambao wakisimama bungeni kuongea kitu watu hukaa kimya kukusikiliza wakiamini UMAKINI wako na UJENGAJI HOJA ulionao kwenye mambo ya msingi..!Binafsi sikuona haja ya wewe kupambana na Magufuli/TEMESA (gazeti la Majira 9/1/2012) kuhusu ongezeko la nauli za kivuko kwa...
  13. R

    PCCB: NSSF is the least corrupt institution in Tanzania

    Dini zina lengo la kutuweka karibu na Mungu ili tuwe karibu na binadamu..!Tukiifanya kutuweka mbali na binadamu pia itatuweka mbali na Mungu...!just a Precaution
  14. R

    Lazaro Nyalandu: USA inataka niwe rais wa Tanzania 2015

    huo ukichwa wake labda kama ni kuhusiana na GPA, lakini kwa yale majibu yake bungeni huo ukichwa mi sijawahi kuuona,kama ni wa GPA atafute uongozi UDASA,SUASA n.k
  15. R

    Sumayae ana usafi gani hadi Mtikila amsifie sana?

    Hivi usafi ndo guarantee ya kutoa maoni masafi au?au hivi ni vitu tofauti ambavyo si lazima viendane?maana mtoa hoja anaungana na Ndugai kujadili usafi wa wazungumzia usafi badala ya usafi uliozungumziwa...!du..!
  16. R

    NCCR waanza kuteremsha bendera kupinga kutimuliwa kwa Kafulila na wenzake

    Kabwe if you mean Zitto, anaingiaje hapa?tutoe mawazo tukijielekeza kwenye heading
  17. R

    Bora ubunge ufutwe tu! - Serukamba

    Among MP's sijawahi kufahamu wanasimamia wapi kwenye mambo ya Taifa this is the one....!yani mara njano mara nyekundu! eti 'Bunge lifutwe'....ana-argue akijua hilo haliwezi kutokea kwa sasa..si aanze yeye kujifuta ubunge kama kweli anamaanisha?dawa yake Mdee tu.
  18. R

    Spika wa bunge (Anne Makinda) akiri posho kuongezwa!

    Nimekuwa nikitembelea Dodoma mara kwa mara kikazi.Bei ya Hotel / Lodges ukiachilia mbali guests ambazo sitaki kuwatajia kwa kuwa hawaoni kama ni za hadhi zao....hazizidi elfu 50 tena hizo ni zile classic kweli kweli coz kwa ile ya elf 25 tu mtu wa `kawaida` ambaye tungependa wabunge wetu...
  19. R

    Zitto amtwanga barua Balozi Mwapachu

    If we have to stand firmly talking of issues and not persons,,and ones integrity and not identity!ZITTO's integrity is high and his issues are material to the Nation...!
Back
Top Bottom