why don you flirt with ya lover its a shame bana.....kaa ukijua hivyo imagine one of those people unao flirt nao accedentally kumbe ni friend angu pasipo we kujua siku moja ananisimulia ...oooh kuna demu fulani na flirt nae kwa fb daaah anajua huyo....alafu anakutaja jina kumbe ni demu wa mwana...
kaka hapo ulipoona hata jina la kampuni hawakukupa aiseh....au hata namba zao za simu...???au njia yeyote ya kuwapata.???kwa sababu hapa hata hatujui tuanzie wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.