Tamisemi
mfumo wa maombi za walimu haufanyi kazi kabsa. tunaomba msaada. hata ku-login ni tatizo
INAONEKA KAMA ILIVYO HAPO CHINI;
This site can’t be reached
ajira.tamisemi.go.tz refused to connect.
Search Google for ajira tamisemi go tz
ERR_CONNECTION_REFUSED
Hapa ukweli ni kwamba, mh. Amesoma yeye lakini majina sio yake, mfano kama aliacha shule 1985 akiwa latano, maanake 1987, ndiyo wamemaliza lasaba, yeye anasema lasaba kamaliza 1993,. Hivyo either alikaa sana mtaani au alianza lakwanza 1987
Dr. Kuendelea kutulia hivi amekosa hekima. Mwanasiasa lazima aweflexble, maamuzi ya wengi ingezingatiwa. Sasa Kama yeye amejiangalia mwenyewe sio vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.