Habari za jioni. Naomba kujuzwa kuhusu magari yanayouzwa Na Jan Japan kwenye show rooms zao hapa Tanzania. Je ni waaminifu? Kwa maana hawacheezei speedometer au kubadilisha vifaa by magari?
Nawasilisha
Habari Ndugu
Je Kuna MTU alishawahi kuagiza Gari toka Kwa Hawa wanaojiita maajenti wa Beforward, lakini wengi wao ni watu toka Pakistan?
Je waaminifu ? au matapeli tu?
Asante Boeing 747,
Gari nimepeleka kwa fundi juzi na jana. wheel bearings ziko vizuri, sina hakika kama walingalia engine and gear box mounts. Pia tairi za gari zote hazijavimba. ila leo nitapelela kwa ajili ya wheel balancing. nitaleta mrejesho.
Habari wadau, nina Nissan xtrail ya mwaka 2008. Ikifika speed kati ya 40 na 60 gari inavuma sana na kuanza kutetemeka. Ila nikivuka hadi 80 mvumo unapungua kidogo. Je tatizo laweza kuwa nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.