Alipokuwa anaongea na wale anaowaita wazee wa Dar alikuwa muwazi kwamba atakuwa dikteta,haya ni matokeo ya alichokisema na bado tujiandae kuona na kusikia mengi,uswahili na uongozi haviendani jamani
Hii inaleta kichefuchefu,serikali gani haifanyi kazi pamoja,kila mmoja anakurupuka na lake.Waache kutuchanganya sisi wananchi,utawala uliyogawanyika hauwezi kudumu,wanatufanya kuwa matambara ya kufutia miguu yao
Kamanda Mbowe hongera sana.Uwezo wako wa kujenga hoja ninaukubali,ujasiri wako unatisha.Umesema mara nyingi sana tusikubali kujenga taifa la watu waoga na waliojaa hofu.Mungu akupe miaka mingi na nguvu za kuongoza chama chetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.