bado hoja ya serekali tatu imekaa kisiasa zaidi. haina msingi na hoja madhubutu. inaonekana kujengwa kishabiki zaidi. angalieni uhalisia wa hali ya nchi yetu alaf ndo mfikirie kuleta serekali ya 3. 2 zinatushinda io yatatu itatuzika kabisa. nasisitiza uzalendo na umakini na nchi yetu. serekali...
Hio ya serekali tatu ni hoja ya kisiasa ambayo haina msingi wowote. Ni hoja ambayo haiangalii ugumu wa maisha ya Tanzania. Ningewaona wa maana sana kama mngefikiria kuvunja serekali moja ibaki moja ili izo gharama za kuendesha serekali ya pili zielekezwe ktk maendeleo ya mtanzania. Acheni siasa...
Tatizo lenu wachangiaji wote mnaochangia mada hii mnazungumza kishabik zaid. Suala la mahakama ya kadh ni suala la waislam, na ilivo kwa mujib wa sheria za kiislam ni lazima iwekwe na dola. Hii ni dini, ni sheria za mwenyezi mungu ambae ana mjua mwanadam vizuri kuliko tunavojifaham sisi, sio...
izi ndo faida za kuwekeana vitu kinyume na maumbile (UKAMEROON), mpaka joint zinavunnjika m2 anashindwa hata kujizuia haja inapomfika. so, tafakari na uchukue hatua sahihi. zingatieni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.