Kwa kweli filamu ipo kama documentary story zake haziishi, kwa mfano story ya binti wa kwanza story yake imeishia hapo alipokutana na rafiki yake haieleweki kama alifanikiwa ndoto zake au vipi. Na hata hao mabinti wengine ni hivyo hivyo na pia mi nimeona ni mpangilio mbovu kuangalia kisa kimoja...
Umezunguka zunguka kujifanya unamsifia Ruge lakini nia yako ulitaka kuzungumzia Harmonize na Diamond ungeenda tu direct. Mbona Diamond alishalalamika sana kuhusu Ruge na watu wakamshambulia Ruge, leo akisema Harmonize mnaleta mabandiko yenu...
Kitu kingine Harmonize hajakataa kusaidiwa...
Ooooh kumbe kuahirishwa mechi na yanga ni mipango ya nchi sasa mbona hamjawaambia mbumbumbu wenzenu wakiongozwa na yule msemaji mbwatukaji wanakaa wanabwatuka kama mbwa koko waliokosa matunzo
Sasa mbona kila siku mathread kibao yote yaanzishwa na masimba yasiyojielewa, kwani aliyesema yanga na tff wana mgogoro ni nani kwanini msimuulize yeye awaeleze vizuri kuhusu huo mgogoro
Wee nae mbona kama umekurupuka, umesikiliza mwenyewe alichosema au umehadithiwa
Amesema alipata tatizo mwaka 2015 lilipelekea upofu kwa jicho lake moja kwa hiyo jicho moja ndio halioni, hizo habari za tangia mtoto umezitoa wapi
Mi naona ni sawa tu, maana hawa wasafi wameshawahi kufungiwa wasafi tour kwa makosa haya haya ya kijinga baadae wakasamehewa, juzi tu hapa wametoka kufungiwa redio na hata kuhusu hilo la Gigy money nasikia sijui kahama alipanda na chupi jukwaani wakapewa onyo bado hawakutaka kujifunza na ndo...
Nyumbani kuna mazingira mazuri, garden yenye kuvutia na utulivu wa kutosha isitoshe kuna min bar counter iliyosheheni vinywaji vya kila aina tajiri akae huko bar na makelele anafanya nini sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha akili wala nini mwanamke kupangalia maneno ndo akili halafu mabeste wala hakutaka kueleza juu ya maisha yao ila alieleza kwanini ndoa yao ilivunjika kwa sababu watu wengi walivutiwa na ndoa yao na pia walitaka kujua nini kiliwasibu, huyo mwanamke kuona kaumbuka kutoka na rafiki wa...
Daah!! Nimemuonea huruma maskini na kukaa kote ulaya anakuja kuibiwa kizembe namna na bongo movie, wanawake wenzie wamemuingiza mjini mwenzao kwa kweli hii ndo bongo Dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ulitaka harmonize, efm na clouds wakae chini wamuangalie huyo domo na wasafi wanafanya nini, maana kila wanachofanya wanataka kumshusha domo, watu wasifanye yao kisa chai jaba hebu tulia huu mchezo hauhitaji hasira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.