Watanzania tuamke na hizi ajali!! Yapata kama week 3 hivi nilikuwa natokea Arusha kuja Dar na bus la Kilimanjaro Express. tulienda vizuri kabisa mpaka maeneo ya Chalinze ndipo dereva akazidisha speed zaidi ili alipite bus lingine la kampuni hiyo hiyo, kwa kuwa nilikuwa nimekaa seat za mwisho...
Wewe ni kubwa jinga, ulichoweza kuji sympathy nacho ni kusema umeshindwa kwa sababu huna uzoefu wa hapa, kisa umeishi 30 years abroad!! Very stupid sentence na njia ya kijinga ya kujitetea. Ulivyo waste 30 years kubeba mabox abroad hukujua bongo siasa tena chafu zinaendelea. Acha unafiki...
Wana JF, Habari za mchana? Natafuta kuku wa kienyeji wa kununua(kuanzia 2 weeks old na kuendelea,wasiwe wa mayai),nahitaji kuanzia 200 na kuendelea yeyote anayejua ama anauza, anijulishe tafadhali. Namba 0715136139.
Unene wa Gama umechukua sehemu yote ya akili yake!! Hapo kuna tatizo zaidi ya hili. It looks like just because opposition ndo inaongoza jimbo hili(Chadema-Freeman Mbowe mbunge wao) inafanywa kisiasa zaidi. Ila wajue watanzania wa sasa wana macho na wanachuja kila wanachokiona;mwisho wa siku yote...
Pale Gerezani au mtaa wa Lindi kwenye maduka ya used vipo vioo kibao vya ndege(vya used), kama ni kikubwa unakata na machine unakipunguza,tukikosa pale huku karibu na machinga complex vipo!!!!
Tunaandika kwenye makaratasi tumeagiza toka Europe, Euro 50,000/=
Kwenye Maadui watatu Mwl. Nyerere aliokuwa anawapiga vita yaani
1.Ujinga
2.Maradhi
3.Umasikini
Tuongeze adui mwingine hatari sana:
4. viongozi(Washkaji zake,mademu zake,mashemeji zake,wakwe zake,binamu zake) wa serikali ya Jakaya
Waislamu wana mambo ya ajabu sana. Wenyewe kwa wenyewe hawaelewani, Makam wa Rais ni muislam, mkuu wa Kaya muislam, sasa iweje mseme uteuzi wa kadhi umekaa kiserikali wakati wakuu wengi wa juu are in favour of muslims!! Waislamu amkeni muda mnaopoteza kwenye majungu,mabishano, na upuuzi wa...
Kwa hiyo? whats so special about him kuwa na mama mtanzania??? Post vitu vya maana humu jamvini,kama una undugu naye ni huko huko nje sisi haituhusu.....
Virusi vimeanza pa kutokea!! Amewatafuna na aliwatafuna sana waimba taarab wa TOT Taarab ambao wengine ni marehemu na wengine kazaa nao, mmoja wapo anaishi Kawe(nje ya ndoa) na wengine kawatelekeza Mwananyamala. In short you dont have to be a genius to understand this. Ila utasikia ni pressure...
Wacha Urudiwe na hata kama wakikataa asisimame Lema,atakayewekwa Mwingine wa CHADEMA atashinda tuu. Watu wana mwamko na uelewa si zama za kale za CCM kudanganya mchana kweupe!!!!! Wanapoteza pesa zao bure watahonga lakini CHadema ITAPITA. chadema JUU JUU zaidi. Ndo inazidi kupata umaarufu!!!
Nilishachoka kuanjgalia TBC 1 maana is too biased(CCM 100%). ila inauma sana wanavyocheza na kodi zetu kwa kufanya kama kituo ni cha wao CCM na kuiremba remba serikali hii ya kimatako ******.
Ifike mahali watanzania we stand together na kuamua either tusiwe na televison ya taifa au radio ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.