Unajua maana ya neno KUKINUKISHA au umeamua tu kujifurahisha...yaani unajitekenya na kucheka mwenyewe. Wanakunukisha kwenye hamna?wamtangaze tu mtu wao yaishe.
Mambo kama hay ndo yanaturudisha nyuma watanzania. Woga usio na maana. Ruge has nothing to loose,umeshafungwa mda woote huo. Halafu bado unapata kugugumizi kutaja majina hadharani?
Sasa hapa nipolisi unapokuja kulalama hapa? Kama unahisi wanapaswa kuishtakiwa wahi polisi kwa DPP au mahakamani. Au umekuja kupima upepo kuona mawazo ya Nzengo? Hapa ni vyombo huru vya nje viahitajika mengine yote porojo tu.
Nimeipenda sana hii ya maombi Nairobi, unawasubiria uwatwange huku, ngoma inachezwa Nairobi. uzuri maombi Mungu huyajibu popote hata kama ni chooni ilimradi umeomba kwa IMANI Mungu anajibu. It shall be well with Hn Lissu.
Katika awamu hii ya tano mpaka kufikia 2025, watapotea watanzania wengi sana bila kuonekana tena wala kutolewa maelezo ya kutosha, minus me & my entire family in The Name of My Lord Jesus Christ of Nazareth!
Chuki mnayoionesha kwa Kamanda Masha ni kwa sababu kakitelekeza chama chenu. I confidently declare that Lawrence Masha is a great potential to this Nation, only Bashike kind of people like you don't see this
Huna mantiki wewe bora ungekaa kimya. Kupitisha mgombea wa CUF asiye mwanachama ndiyo sawa lakini CDM kuleta wagombea wawili kwenu ni haramu? Seriously? Mnatia aibu sana wanaccm
Leo hii ndo mnaona CDM wana watu wengi wenye uwezo kisa tu mnahofia Makamanda Masha na Wenje wakienda EALA watawafunika wa chama chenu? Plz be serious a little bit.
Laki si pesa kuishauri CDM ni sawa na shetani kumshauri Mungu. Kama anafaa sana basi Lumumba mpeni nafasi, halafu naomba unifafanulie maana ya neno MAKAPI, pengine sijaijua vyema, KAPI WEWE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.