Kama kawaida yao serikali kudeal na mmoja kisha wengine wanyamaze, si mnamkumbuka mkulu alivyomshambulia Mgaya ikawa ndo basi mgomo wa wafanyakazi?? ama kweli iliandikwa ¨Nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika¨.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.