inasemekana THEO anataka pound zaidi ya 100,000 kwa wiki jambo ambalo haiezekani, ukizingatia anachukua 100,000 kwa sasa mkataba alionao...
ukilinganisha na hali aliyopo sasa baada ya kutoka long term injury na kupoteza form
on top of that ALEXIS anakula pound 130,000 i think na OZIL 110,000...
Osaba,
una claim kwa kupiga screen shot izo refunds zako PAYPAL na unawapigia bank wakupe email uwa attachie au unawapekekea...
hasa CRDB refunds wanazibania...mpaka upige makelele sana
Habari zenu wadau,
Katika mitandao ya kuuza na kununua vitu kwa njia ya kielekroniki (online markets) kunaambatana na hatari nyingi sana na hasa ukiwa unanunua vitu kwenye mitandao iliyojaa watu wezi (scammers) kama Aliexpress,alibaba,dhget, Made in China n.k.
Baada ya kufanya biashara na hawa...
SIO POINT YA MSINGI KABISA
nchi ya kijinga sana hakuna MAIN ROAD ya kuunganisha miji muhimu yoye....hamna barabara ya kutokea BUKAVU kwenda kinshasa, wala Lubumbashi kwenda GOMA kuja kishansa....
wamekalia vita.....usafiri unaousema wa ndege ndege zenyewe (za kizamani madege ya jeshi) mbuzi...
baba jukwaa liko JAMII INTELIGENCE kaanzishe thread mambo ya ALLAH kule....unachakachua thread ya watu
hapa ni kuhusu ma cartoonist baasi kuhusu allah sijui mambo mengine tafta siku ingine sawa kijana
jioni njema
wagala bana....watoto wa kipalestina waliuliwa wakawa wanakenua hapa
sasa siku agents wa mossad walipotiwa mbaroni wakauliwa kule gaza wakaja kasi na mambo ya HAKI ZA BINADAMU na kuwahurumia...
yaani huu unafiki wa kijinga sana aisee
unajaza server mzee...point zako zimeisha naona mapovu tu
lets them die for good....you are not going to insult our religion then we stay looking at you like nothing has happened....
you will be warned....you persist you face your fate
RELIGION TOLERANCE ya kinafiki nafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.