Ninajiona Mwenye Bahati sana, na Baraka kwani kazi nzuri niliyoanzisha, ninaona matunda makubwa katika ukombozi wa Taifa langu la Tanzania.
Kwanini watanzania waaminishwe eti, "CCM ni Mama Yao na Baba Yao"? CCM ya sasa si lolote, wala si chochote bali ni genge la wahuni wachache wanaopigana...
Jamani, ninaomba muelewe kwa makini kuwa, "Kinachomfanya Nape Nnauye Ale, Avae, Alale, ni maneno ya mdomo wake na mara nyingi maneno ambayo hata yeye mwenyewe hayaamini ila akishatumwa aseme hivyo, hana budi ya kutekeleza".
Muoneeni huruma kijana mwenzetu! Siku moja ataokoka na atajivua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.