Mmh,, tatizo jamii hatuwi wakweli utakuta askar katimiza wajibu wake lakini kwa vile umetendewa haki sasa unaanza kutafuta njia ya kuwachafua,,,jamani tuwaache askar watimize wajibu wao kuliko kuanza kuwakatisha tamaa,,,,,ww inaonekani utaki kutii sheria bila ya shuruti sasa umeshurutishwa...
Wapi watu wa HAKI ZA BINAADAMU hapo Polisi kauwawa mtakaa kimya ila Polisi kaua Jambazi mtapiga kelele mpaka basi sasa haki ipo wapi wajameni inauma sana fikiria huyu aliyekufa ni ndugu yako,,,,,ufikike wakati polisi wasiingliwe wanapo toa adabu kwa wakosefu !
Ni majani hatar sana hayafai kuyatumia ni moja ya dawa za kulevya na yanaathar nyng ikiwemo kuondosha uCngzi,pia kwa wanaume kujikuta mbegu za kiume kukutoka bila ya sababu wakat unapoenda haja ndogo mbaya zaidi upoteza hamu ya tendo la ndoa na kwa hili wake zao kujikuta wakienda nje ya ndoa na...
Mmh... ! Uwezo wa Kumkamua Mwanamke kwa bed ndo mpango Mzima,...ukiweza mkojolesha demu na kummwaga mijimaji kwa sana... na ukiweza hilo lzma mdadaa atapagawa ile mbaya...na amini hata yule aliyetahiriwa ukim-sex kiukwel lazima atafika kileleni na kukojoa ,ukimfanyia hivyo kwann asipagawe na...
Kwa nn stori hiyo iwe siri ? Na wasi wasi na ukwel wa taarifa hii ebu lete facts kama jina la askar huyo na kituo chake cha kazi na pengine hata picha za tukio ili walau tuamin stor yako !!! Kwa vyombo vya habar vilivyo vingi nchini story hiyo wawe hawajaipata !!!? Sio kweli
Ni ' upumbavu... ' kufanya vurugu kwa kuchoma makanisa kwa kisingizio cha Muungano .Kama hamuutaki Muungano basi daini hilo la Muungano na si Kuchoma Makanisa ! Na hilo la kusambaza vipeperushi kuwataka Wa-bara waondoke Z'bar...! Nyie Mna hatari eti...!!! Tumieni busara kuamua Mambo yenu Jaman...
Kwa sura hii Ukimwi hauta kwisha...!!! Ooh masikin Wanafunzi hata ukibahatika kupata hiyo Degree lkn tayar umepata maambukizi ni muda mfupi tu ukimwi unakuchukua !!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.