Dar es salaam in nini? Madini? Kilimo? Gas? Utalii?( Umewashinda), Dar ni old hot & humid Transit shanti town. Hata kuvua samaki wameshindwa. Tanzania inaweza kwenda bila dar. ha ha ha ha.......................
Uchumi wa Dar es Salaam unatokana mainly na bandari, na ili bandari iweze kufanya kazi inategemea " Import/Export" Hivyo basi kama miondombinu ya bara " Hinterland" haifanyi kazi na bandari haitafanya kazi itakuwa kisiwa. Hivyo basi Dar inategemea bara zaidi kuliko bara inavyotegea Dar...
jamani mlisikiliza kauli ya mengi ? Mengi hakumshutumu mtu, mengi aliwataja watu wanaoshutumiwa?????? hata hapa JF watu hao wanashutumiwa mtakubali kuwa mashahidi kuwa mnawashutumu watu hao?
jamani huu ni mkakati maalum wa kuchafuana hapa. Zengwe hili dhidi ya huyu mzee liliaza kupikwa tangu enzi ya hoja za Malima na Mengi. Kama mtakumbuka gazeti la Mwanahalisi liliandika habari za mkakati dhidi ya Sitta na huyu mzee akalipangua hili Jambo. Watu wale wale waliotaka kumtoa...
Wakuu salaam
je mnalifahamu hili?
Tarehe 1 Feb 2005 Mheshimiwa Lawrence M. Gama [ CCM ] Mbunge wa Songea Mjini Aliuliza hivi
Je, tangu Serikali ichukue hatua ya kubinafsisha viwanda ni viwanda vingapi vinafanya kazi na vingapi havifanyi kazi hadi sasa na ni vingapi...
Jamani Jamani kusema huyu hapa katuibia ni kumfeedhesha MWIZI?????????? MWIZI??????????????. Asituambie mbinu wanazotumia sawa kabisa lakini atuambie ni nani kaiba huenda tukamsadia zaidi jinsi ya kupata hizo hela na mali zao ziko wapi. Si waliomba wenyewe kuwa mtu mwenye taarifa apeleke?
Hivi ni lazima kweli watu wote hawa wawajibike kwa rais? Tuchukuwe mfano moja tu ( Tafadhali ninatoa mifano ya mfumo na siongelei watu)
1-Waziri wa fedha anachakuliwa na rais kwa mapemzi yake mwenyewe bila kuulizwa umemtoa wapi huyo mtu unaetaka kumpa madaraka makubwa namna hiyo? raisi...
Swali lako ni la msingi sana, sana na jibu lake siyo rahisi kama unavyotaka tutaje majina. Kwa sababu tatizo lililopo siyo watu ila ni mfumo wa uendeshaji wa mambo yetu. Tujadili mfumo wa uendeshaji mambo yetu kwanza tukishakubaliana tuwaweke watu wa kutuendeshea mambo yetu. Binaadamu wote...
Yule mshauri maarufu kutoka Japan aliyejulikana kwa jina la DR Kobayashi aliyeletwa na BWK kwa jina kubwa la " MINI TIGER PLAN ya 2020" kaishia wapi? Mipango yake imewekwa kapuni?
Jamani wana JF ninawaomba kuuliza hivi mbona uwanja wa ndege wa songwe Mbeya umekuwa ni kitendawili kisichoteguka? Haumaliziki kwa nini -wakandarasi hakuna? Hawautaki? Fedha hakuna? Ni kirusi gani hasa wajemeni ninaomba msaada wenu.
Waasisi wa TANU ambao walihudhuria na kushiriki katika Mkutano wa kuzaliwa kwa TANU walikuwa 17:
(1) Mwalimu J.K. Nyerere Rais wa TAA/TANU
(2) Geremano Pacha Jimbo la Magharibi
(3) Joseph Kimalando Jimbo la Kaskazini
(4) Japhet Kirilo Jimbo la Kaskazini
(5) C.O. Milinga Jimbo la...
nILITAKA KUJUA UKIIBA UMEME WA TANESCO UTAPATA ADHABU GANI? HIVI NDIYO WEBSITE YAO INAVYOSEMA, SIONI INAPOSEMA WATAKAT UMEME MARA MOJA!!
ELECTRICITY THEFT
Tampering with an electricity meter with the objective of stealing electricity is also a criminal offence. Theft of electricity...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.