Wewe hujui Biblia ndo kila kitu,ni heri kukaa kimya kama huelewi kama ni masuala ya utawala kuna mwanasiasa anayeweza kuwa na uwezo wa kuongoza kama viongozi wa kanisa?
Asnte sana Kiongozi wetu unaye tujali na kutupenda.Hii ni mbinu ya ccm ya kutaka kudanganya watu kuwa mabomu siyo kanisani tu na mikutano ya chadema bali ni popote,kazi ya Mwigulu baada ya kutoka china ndo hiyo sijui itakuwaje ila tunamuomba Mungu awadhihirishe na kuwaadhibu hawa watu wanaotaka...
Hatuwezi kuitoa ccm kama watu hawapigi kura,uongozi wa chadema siyo tume ya uchaguzi inayopaswa kuandikisha watu na kuwahamasisha wapige kura,uongozi uliyopo umefanya mengi makubwa na unaendelea kufanya mazuri
Walizoea sana kuvuruga na kutufunika macho lakini bahatimbaya Watanzania waleo wameona shule kuwadanganya ni ngumu.Kusema kweli hakukuwa nania ya dhati ya katiba mpya na bora ila kulikuwa na nia ya katiba mpya ila iliyo mbovu zaidi kwa manufaa ya utawala
Mkuu umesema ukweli, mungu aliwafichua wanafiki,tangu lini raisi akaelekezwa na mtu maneno ya kuonge wakati ana hutubi au kuongea, huku kujiamini sita kakutoa wapi
kanywe gongo yako usubirie kifo, wewe hujui chochote kinachoendele na kinachopaswa kufanyika katika taifa hili,wewe unadhani faida ni ya chadema au wananchi
Wapendwa wadau wenzangu ,nimekuwa na wasiwasi mkubwa baada ya kusikia sitta akichomekea kwenye hotuba ya raisi ya kupinga rasimu bila woga, kitu ambacho siyo chakawaida cha kuingilia na kuchomekea maneno. Binafsi sijawahi sikia na kuona kitendo kama hiki,sasa inaonyesha wazi kuwa ile hotuba...
katika hali inayoonyesha dhahili kubembeleza wazanzibar wakubali selikali, mbili ccm wameona kwakumtumia kikwete wawape kila wanachokidai hatakama wamevunja katiba sawatu.Kwamaoni yangu mbele ya safari tukienda hivi tutachanganyikiwa na ccm itapoteza kile inachodhani itakipata, maana zanziba...
Nyimbo za Ugaidi,Ukabila ,Udini na ukanda zimechuja sasa unakuja kwenye cv, uongozi siyo cv ni kipaji kutoka kwa mungu,ni madudu mangapi yanafanywa na watu wanao jiita wana Phd, mirambo alikuwa na cv ipi mbona ni shujaa na atakumbukwa na vizazi vyote.Hebu tupatie cv yako
Mtoa mada wacha kukurupuka fanya uftafiti kwanza kabla ya kutuonyesha umbumbu wako,ile gari ni kwaajiri ya kazi za upinzani, sasa wewe unadhani akiwa kwenye shuguli za chama hizi siyo zaupinzani? angekuwa kwa shuguli binafsi ningekubaliana nawewe kuwa kavuka mipaka
Mungu ni mkubwa, naona wameanza kutoka pangoni, kwajinsi jamaa alivyoandika inaonekana yeye ndiye aliye wasukia mpaka wanakamatwa, sasa kama ni mlinda usalama wa slaa wewe unataka aseme anamfahamu ili kutibua mbinu zao za kiusalama.
Wewe ulisha hamia ccm endelea kuvaa magamba yako waache...
Mungu wetu huwa hafichi wanafiki,ccm wameimba nyimbozote zina kataa sasa wanajariibu hii, subiri watakapo angukia pua chademama itapaa hawaitaikamata tena sijui wataimba wimbogani tena maana zote zimeisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.