ooh umeniwahi,....maana baada ya kuiona nimekimbilia jf nipost how ---- the video iz..bora diamond mara elfu!!yani Vanesssa na exposure yako yooote iyo ukaamua kukubali video hovyo kama hiyo itoke>?what a shame...the audio is superb ila video ingemtangaza zaid nje..but what u did ni kutupa hela...
huyu dada kama anavyopost humu ni kweli basi ana matatizo makubwa sana........nikiambiwa nichague kati ya hela,kazi,mke au kujitambua..nitachagua kujitambua
nashangaa kuwa mchangiaji wa kwanza...mambo ya msingi kama haya watu hawachangii wanachangia mmu tu...TTCL ni kampuni la umma na lina hali mbaya kimaamuzi..waziri do something
kwa iyo wale ambao tumepima tukakutwa tumeathirika Mungu hatupendi na sio mwema kwetu..si ndio!!
in this life jaribu kujifunza kwamba kila kitu kinatokeakwa sababu ambazo wewe au mimi hatuzifahamu.......hakuna mtu asiependa uhai wake;wewe ulienusurika kuambukizwa haimaanishi ndio mwisho wa...
jambo JF
tuko pamoja..........leo naendelea na utaratibu ule ule wa kukumbushana juu ya suala hili la Ukimwi na virusi vya ukimwi...
leo tuangalie hili suala limekaaje maofisinimwetu.kama mnavyofahamu mimi pia ni muathirika ninaeendelea n akazi zangu kama kawaida...najitambua na wala hainipi...
Wachangiaji wengi apa wanafiki...
Si mseme tu ukweli may be iyo thread hakuiona...
Mleta mada ni kweli kanumba alikua na bif na baba yake na nimeona mama ndo anasubiriwa badala ya baba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.