mdau,nadhan hujaelewa maelezo yangu vzr.hajawah kunifumania zaid ya kuhis tu fulan au fulan hata kwa
kusalimiana tu.hatak niwe karibu na rafk yyt tangu
nasoma,kila mtu alimuona hafai .na km nngetaka kuua
cdhan km tungekuwa nyumba moja had muda huu.
kuna wenza wanafanya mambo makubwa zaid...
hakuna kilichonifunga,nilikuwa najitahd kuvumilia labda ipo cku atabadilika
.na kujaribu kutafuta njia nyngne za kusolve tatzo kabla ya kuamua kutoka na uki
chukulia n mume wa ndoa so huwez kukurupuka ktkmaamuz.
lakn m sihitaj chcht alichochuma na wala tulichochuma koz mbal na uanafunz
n...
dada tumeshaenda zaid ya mara tatu nahic sasa nao wametuchoka
naish kwamazoea tu kwa kwel,ila cna raha yyt.c unajua kwa shda na raha niliapa.ila naona muda unakwenda na nawaza ntakufa bila furahia mapnz
cna hakika nn kikubwa atasema
koz hajawah kunifumania ukiacha kuhis yan yeye tatzo dogo ananuna hata mwezi.hata ukiongea na mtu ambae yy n mgomv wake n kosa kubwa na mtaliwekea vikao
sijabahatika kupata mtt
anakunywa ila c mlev wa makelele n wa kistaarabu tu
tumeshirikisha wote had viongoz wa din na mara nyingne huwa hatokei akiitwa.na hata wazaz wake hawaogopi wanaweza ongea nae akasoma gazet na hafat hata yanayoamuliwa,ana kajeur fulan cha vijisent
kuwepo kwangu had sasa n ishara tosha nafata mafundisho niliopewa otherwise nngekuwa nmeondoka muda tu.
na hata kama kuna tatzo solution n kutatua lakn c kufanya visa hv,mwisho wake utakuwa nn baada ya visa!
Mm n msichana nna miaka 26,nmeolewa na nna mwaka wa 4 sasa katka ndoa.mume wangu amenipita kama miaka 12 hiv
Tatzo ni mume wangu ana wivu sana,asisikie kitu hana haja ya kufatilia km n kweli au lah ye ananihukumu tu.ameshanitoa kwake zaid ya mara 3 nami narudi home, baada ya miez kadhaa huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.