Habari mkuu. Nasumbuliwa na kanyama kameota chini ya kitovu (warts). Nimetumia dawa mbalimbali za kupata na ku burn kama podophlyn bila mafanikio. Msaada wako tafadhali.
Nimekaa Ileje hapo Itumba miaka kadhaa.... ni kweli CDM mnahitaji kufanya mikutano sana tena sana....sijawahi ona/sikia kiongozi wa kitaifa akiwasili Itumba au Isongole au popote pale kufanya mkutano na wananchi. watu wanaipenda sana CDM ileje hasa ikumbilo na isongole lakini elimu na ushawishi...
umeonge ukweli mtupu mkuu....kwa mazingira haya tunayoishi ni bora iwe hivyo. hawa wadada wa siku hizi ni ngumu sana kuwa peke yako....mtapangwa hata wanne na wewe hujui. ikihalalishwa hiyo biashara naamini hata ukimwi utapungua sana tu. naunga mkono hoja
wakuu mniPM namba za hao kina jack na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.