mitandao yetu mingi haiko 'reliable'(though tIGO is way too much), ila kwa ushauri tu kama unaweza weka namba zaidi ya moja (najua wengi wanatumia line mbili siku hizi), that will help to diversify the risk.
Kwa wale waliopita kwenye 'initial screening stages' za Diageo, vipi wameshaanza kuwaita kwa ajili ya "Assessment centre"? na itakuwa lini? kwa mwenye taarifa tafadhali. thanks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.