naunga mkono hoja,ila natoa angalizo kwa wanaosema wangependa kuona sura mpya!kuna nafasi nyingine sio za kujifunzia,badala yake zinaitaji mtu ,mwenye uzoefu na mambo fulani,kwahiyo kumbukeni vigezo na masharti kuzingatiwa.
Jamani mimi nina tatizo la primary goat,please naomba ushauri wa kumaliza tatizo hili,yani sasa hivi sina amani kabisa,kwani nasikia ugonjwa huu husaBABISHA matatizo kwenye kibofu pia!:shock::shock:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.